Wenye majina mengi humu wako wengi. Unajua kuna wakati mwingine unakuwa unataka kuchangia hoja bila kujulikana. Si unajua kama una mawazo ya kitatanishi ndivyo inavyokuwa.
Swali ambalo mimi naamini na watanzania wenzangu wengi tunajiuliza ni kuwa je tume mature enough kuweza kupata ujasiri wa kumshtaki rais mstaafu? Na kama tukifanya hivyo namuona mkapa segerea akilima na wafungwa wenzie aliowanyima msamaha kipindi yuko rais.
Its a dream of course it will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.