Anayejua Kingamuzi gani naweza kununua nikaona zile Movie za zamani za MGM zenye Nembo ya Simba anijuze. Maana Nazielewa Sana. Najua humu kuna wataalamu hawashindwi kitu.
Umeuliza swali zuri, Hii shida ishawahi kunitokea. Nilimeza Mbu Club moja ya Usiku Mtwara. Nikawa na presha sana. Baada ya siku 2 nikaenda kwa mtaalamu wa Afya Ndanda Ndogo Shangani. Akanambia nisiwe na wasiwasi hakuna baya. ...Nilishusha punzi lakini bado Wasiwasi uliendelea kuwepo.
Acha. uongo mimi ni mfanyabiashara nanunua Tv kariakoo tena kwa bei ya jumla. Lg na Samsung hazipungui laki 4. Tena hiyo ni bei ya jumla . sembuse huyo dada yako aliyenunua rejareja. Mtu muongo simpendi.
Ijumaa ya leo Tarehe 4/10/2019 mwizi inayesemekana mzoefu wa wizi misikitini ilimkuta Arobaini yake baada ya kudakwa na waumini mkoani Mtwara katika msikiti mkubwa wa Sokoni.maeneo ya Soko kuu mtwara mjini.
Mwizi huyo aliyekamatwa na waumini waliomshtukia mapema akiwa katika harakati akiwa...
Kwanini maamuzi haya upande Seif wasingeyafanya mapema? Tokea mwaka jana kabla ya September. Wabunge wote wa CUf Zanzibar wangejiuzulu. Sasa wangekuwa Tayari wabunge wa ACT MAENDELEO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.