Siku za nyuma magamba walikua wanasema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu! sababu eti wanafanya mikutano kipindi cha uchaguzi tu! sasa hivi wamebanwa kona zote wameeanza kulialia. Jana nimemsikia nape anasema Songea kuna ghala la serikali na waziri wa kilimo ana miaka minne hajafika, sasa...
B
Best hakuna hunachojua kuhusiana jinsi ya msamaha wa rais na parole zinavyo fanya kazi. tafuta mtu anaye jua akueleze! kama hujui kitu usiwe unakurupuka ili na wewe uonekane unajua!.
Diwani wa Chadema kata ya Nyasura wilaya ya Bunda ndugu Zamberi Mwisarya Ngobayi amefariki dunia jana tarehe 28.10.2013 ktk hosp ya Bugando Mwanza kwa ugonjwa wa moyo. Bwana ametwaa!
Abdul hajajibu hoja, naomba arudi hapa jukwaani kujibu hoja, kitu anachotakiwa kusema je hayo yaliyoandikwa kwenye tanzania daima yana ukweli? je mwenyekiti wake aliyasema? naamini Abdul ni msomi mzuri lakini nashangaa anavyo jibu kama hajawahi kukanyaga umande! na ndio maana anasema eti radio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.