Nimeshafanya hivyo ndiyo maana nikapewa serial number. Pia nilipojaza emails za referees, nikapata ujumbe unaosema referees washatumiwa emails kwa ajili ya recommendations. Referees wote watatu hawajatumiwa bado. Nimeshaona maombi ya watu wa miaka ya nyuma kukataliwa admissions kwa kukosa...
Nimefanya application ya Masters UDSM online. Nimefuata taratibu zote na nimefanikiwa kutuma maombi na kupata serial number (S/N). Lakini mpaka sasa kwenye application form inaonyesha kwenye REFEREE STATUS- Recommendation not submitted. Nimejaza emails za referees kwenye application kama...
Zaidi ya waombaji 1900 waliyoomba kozi za afya INTAKE YA APRIL hawakuchaguliwa kwa kozi walizoomba. Muda wa maombi umesogezwa hadi 26/4/2016 ili wajaribu kuomba kwenye vyuo ambavyo bado vina nafasi. Hata wale ambao hawakuomba mwanzo, wanaruhusiwa kuomba kabla ya tarehe hiyo. Tembelea website ya...
Wakuu Application za postgraduate za UDSM zishatoka. Application mwisho 13/5/2016. Pamoja na mambo mengine wanatakiwa Referees watatu. Je, hawa lazima wawe kati ya wale waliokufundisha BACHELOR DEGREE? Kwenye guideline yao hawaja upload ukifungua inasema : TO BE ADDED. Msaada Tafadhali
Nilikuwa chuoni leo ili upate registration na admission card uje na receipt ya crdb songea yenye malipo ya 750000. Ambayo ni minimum wakati unasubiri loan. Masomo rasmi ni 26/09/2012.
Kijana acha swaga zako nimechomoka na vijiti vitatu so usiangaike kuni google utapoteza muda bure cha muhimu chukua concept au umesoma arts wazee wa kukremisha?:a s 465:
msihofu wakuu boom liko karibu so presha za nini? Mbona presha za kuchaguliwa chuo sasa zimeisha lakini kuna watu wengine mpaka sasa hawajui wataenda chuo gani jamii foram is here to help people like these
Nothing about priority and non priority wote boom sawa siunajua boom ni tofauti na laons.boom kila mwanafunzi anaeenda chuo anapata lakini ishu ni mkopo utapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.