Search results

  1. S

    Postgraduate online application za UDSM zina matatizo?

    Nimeshafanya hivyo ndiyo maana nikapewa serial number. Pia nilipojaza emails za referees, nikapata ujumbe unaosema referees washatumiwa emails kwa ajili ya recommendations. Referees wote watatu hawajatumiwa bado. Nimeshaona maombi ya watu wa miaka ya nyuma kukataliwa admissions kwa kukosa...
  2. S

    Postgraduate online application za UDSM zina matatizo?

    Asante mkuu kwa ushauri ikishindikana itabidi niwafuate huko huko chuoni.
  3. S

    Postgraduate online application za UDSM zina matatizo?

    Nimefanya application ya Masters UDSM online. Nimefuata taratibu zote na nimefanikiwa kutuma maombi na kupata serial number (S/N). Lakini mpaka sasa kwenye application form inaonyesha kwenye REFEREE STATUS- Recommendation not submitted. Nimejaza emails za referees kwenye application kama...
  4. S

    NACTE watangaza waliokosa nafasi-afya april intake 2016

    Zaidi ya waombaji 1900 waliyoomba kozi za afya INTAKE YA APRIL hawakuchaguliwa kwa kozi walizoomba. Muda wa maombi umesogezwa hadi 26/4/2016 ili wajaribu kuomba kwenye vyuo ambavyo bado vina nafasi. Hata wale ambao hawakuomba mwanzo, wanaruhusiwa kuomba kabla ya tarehe hiyo. Tembelea website ya...
  5. S

    Postgraduate referees, UDSM

    ahsante kwa majibu mazuri
  6. S

    Postgraduate referees, UDSM

    Wakuu Application za postgraduate za UDSM zishatoka. Application mwisho 13/5/2016. Pamoja na mambo mengine wanatakiwa Referees watatu. Je, hawa lazima wawe kati ya wale waliokufundisha BACHELOR DEGREE? Kwenye guideline yao hawaja upload ukifungua inasema : TO BE ADDED. Msaada Tafadhali
  7. S

    Kama hujajua kama umepata LOANS from HESLB tupia form index no usaidiwe

    Net inasumbua hk bush niangalizieni s0332.0249.2009
  8. S

    Registration st joseph, songea

    Chuoni wamejaa wahindi kibwena and their language we acha tu
  9. S

    Registration st joseph, songea

    Nilikuwa chuoni leo ili upate registration na admission card uje na receipt ya crdb songea yenye malipo ya 750000. Ambayo ni minimum wakati unasubiri loan. Masomo rasmi ni 26/09/2012.
  10. S

    Boom hiloooooo

    Kijana acha swaga zako nimechomoka na vijiti vitatu so usiangaike kuni google utapoteza muda bure cha muhimu chukua concept au umesoma arts wazee wa kukremisha?:a s 465:
  11. S

    Boom hiloooooo

    msihofu wakuu boom liko karibu so presha za nini? Mbona presha za kuchaguliwa chuo sasa zimeisha lakini kuna watu wengine mpaka sasa hawajui wataenda chuo gani jamii foram is here to help people like these
  12. S

    Boom hiloooooo

    Wakuu tatizo hamfuatilii taarifa za habari.boom linatoka 10/09/2012 so andaeni akaunti zenu mapemaaa
  13. S

    Boom hiloooooo

    Nothing about priority and non priority wote boom sawa siunajua boom ni tofauti na laons.boom kila mwanafunzi anaeenda chuo anapata lakini ishu ni mkopo utapata?
  14. S

    Boom hiloooooo

    PRESHA ZANINI KIJANA UTAKUJA UFE KABLA YA WAKATI VUTA SUBIRA HADI 10/09/2012 SI MBALI MKUU:eek2:
  15. S

    Boom hiloooooo

    Patient 10/09/2012 is not too far
Back
Top Bottom