Kwa hakika unatumia masaburi kufikir badala ya Kichwa mwanzoni nilifkir Dr Didas alikosea katika priciple yake aliyogungua kwamba badhi yenu munatumia ........... kifikir ila nadhani anastahili Tuzo ya heshma na aingizwe kwenye Guinnes book of records
Alitakiwa atafakari kwanini badhi ya watanzania walikua wakipinga sensa badala ya kukurupuka nakuwambia watu washiriki sensa bila yakujibu hoja za wapinga sensa. BY HAYABWANA
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.
Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete?
Karibuni ila tusitukanane jengen hoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.