Tutatue kwanza msingi wa tatizo, ndiyo tuje kwenye tatizo lenyewe, la sivyo, kuongea upuuzi, eti mara Dailynews halisomwi, haitusaidii. Daily news lenyewe, huenda hata wewe mwenyewe na kadigirii au kadiploma kako ka Gentleman class huwezi kulisoma na kulielewa. Chanzo cha watu kufa ni ubishani...
Duuuu. Hakika unataka kutufanya hatuijui Marekani wala UK. Haya, tuambie hawa wataalam wanaojipanga kuja kuisadia Chadema wako kona zipi na wanafanya nini? Hivi umewahi kuhudhuria mikutano ya Chadema Marekani na UK? Kwa ufupi, Tanzania hakuna upinzani, ni njaa tupu. Dr Slaa ni dhaifu kuliko hata...
Siyo uongo, ni ukweli mkuu, ila wanaojiunga na CHADEMA ni wale wale waliokuwa CHADEMA, siyo wapya, hivyo operation yao ilitakiwa kuitwa VUA GWANDA KWA MUDA, KISHA LIVAE TENA ILI KUWATISHIA CCM. Huku UK wamewavisha Magwanda Wakenya, eti kuongeza idadi, hii ni usanii usio na manufaa, kwani...
TUANZISHE TENA KIJIJI CHA NGENGEMKENI MITO MINGI
Kwa kuwa umenihakikishia kuwa waliogomea sensa ni wasomi, nachelea kusema kwamba tuanzishe tena kijiji cha Ngengemkeni Mitomingi. Wale wasomi waliosoma kitabu cha penzi kitovu cha uzembe, wanajua maudhui ya kitabu hicho, moja ya maudhui ni ya...
wANAOHITAJI DR. ULIMBOKA ASEME UKWELI ALIONAO, WAJIORODHESHE HAPA CHINI, TAJA MAJINA YAKO 3, ANUANI YAKO NA SHULE ULIZOSOMEA. UKIWEZA, BILA KUDANGANYA, DR ULIMBOKA ATAFUNGUKA MAANA UTAKUWA UNAMAANISHA KWELI. ANAEPENDA MWENZIE AWE JASIRI, AANZE YEYE KWANZA KWA KAUJASIRI KADOGO HAKA.
Mmmmmmmmh. Huenda ccm wakakiona cha moto mwaka 2015, lakini si kwa hili la mbowe marekani. Tatizo ni kwamba watanzania tukisikia marekani tunachachawa. Ebu weka picha hapa halafu nikwambie huo mkutano ulifanyikia wapi na ni taifa gani zaidi walihudhuria. Hivi unadhani kila mweusi aliyepo...
Kuna vigezo vingi vinavyozingatiwa ktk kumruhusu mwekezaji kuwekeza, siyo Company Profile tu, na si kuvutiwa na kiasi cha pesa eti ni matirioni mangapi. Waziri kapewa dhamana hiyo, aaminiwe, kazi anayoifanya anaijua vema. Au unataka kusema wewe unajua kuliko yeye? Je waweza kutuambia tungefaidi...
Hivi Uk umefika ukaona tofauti ya wa-Uk na sisi? au unasoma tu vijalida? Mbona unapenda kuangalizia kila kitu. Angalia usije kopi sumu maana si majibu yote ya kuibia ni sahihi na usipende sana kuangalizia.Tafuta mambo ya msingi ya kuiga, hili sasa unalitaka lina manufaa gani? ebu tudokeze pande...
Udini utakimaliza kizazi hasa kijacho. hapatatawalika, chama chochote hakitaweza kutawala, tusipige kelele kwa jazba, hii ni hatari sana maana kamwe Tanzania haitaweza kuwa nchi ya dini moja, tutachapana bakola sana, hakuna atakaeshinda na hivyo tutakuwa na vita ya kudumu na tutaandika historia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.