Acha ushamba wewe ulizaliwa wapi? Hiyo password nilitumiwa nilipoingia katika email yangu nilikuta ujumbe toka crdb bank. Wakati wa kufungua nikadaiwa password nikaweka hiyo niliyotumiwa kwenye......kitu hicho kikafunguka kumbe ni statement yangu. Nafikiri ninkwa ajili ya usalama wa statement...
Watanzania wenzangu, tukio la Mafinga huko Iringa halijatokea kwa bahati mbaya, kama kuna mtu amefanikiwa kuona picha za polisi wakitoa kipigo kwa Mwangosi utagundua lile kundi la polisi lenye silaha za kivita, mafimbo makubwa na mabuti yao walikuwa ba jitihada za ziada katika kuhakikisha ndg...
Watanzania tuache utani, Hawa Police tunaona wanafanya mambo mazuri hadi siku watakapoua mkeo, mumeo, mtoto wako, shemeji yako, baba yako, mama yako nk. Jamani tatizo hapa ni police na siyo raia. Hawa raia wanakua hawana chochote tena wapo kwenye tawi lao. Je ingekuwa CCM wangewafyatulia risasi...
Ni heri kuwa na "mtuhumiwa" mwenye uwezo wa kufanyq haya hapa chini kuliko kuwa na mtu "asiyechafuka" lakini goigoi.
-mwenye maamuzi
-mwenye kujua tatizo letu
-mwenye solutions za matatizo yetu
-mwenye uwezo wa kujenga hoja
-mwenye udhubutu
Bila hivyo nchi itakuwa na viongozi wasafi wanaojua...
Kweli Watz hatujui tunatoka wapi tunakwenda wapi na dunia iko wapi na inakwenda wapi!!! Hivi ikijua waislam wako idadi fulani ndo inaongeza nini? Kwa hiyo inasaidia nini kumaliza umaskini wetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.