Asalam alaikum,
Habari za masiku ndugu zanguni.
Naanza kwa jina la Mwenyezimungu muumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake! mwenye kujua ya dhahiri na ya siri (yaliyo mioyoni mwetu) na rehma zimfikie kipenzi chetu Muhammad SAW.
Je Ponda ni nani?
Mimi awali nilikuwa najua Ponda na...
Habari yako Mheshimiwa Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya mahesabu ya umma, nakuandikia waraka huu kwa kuwa mimi ni mmoja wa huo umma ambao unasimamia mahesabu yetu. Nimefatilia hoja uliyoiwasilisha bungeni michango ya wabunge na hitimisho la hoja yako.
Uliazimia kukusanya sahihi 70 kutoka kwa...
Salaamu zangu natuma, zifike kila mahali,
Tunaziomba rehema, za Mungu zituwasili,
Hapo siku ya Qiyaama, tuwe chini ya kivuli,
Nafunga ndoa natawakali, naoa mke Muumini.
Naoa mke Muumini, nafunga ndoa natawakali,
Mke aloshika dini, na kila siku kuswali,
Hijaab ipo kichwani, afunikae wote...
Baada ya mdau sulphadoxine kuleta upupu ufuatao.
Mheshimiwa Dokta Kitilla Mkumbo akamjibu...........
Nilipomwona Dokta wa ukweli yupo online na alikuwa akifatilia mada nikamuuliza
Mheshimiwa Mkumbo.
Japo mimi ni mtanzania lakini sina usahaulifu kama wengi miongoni mwetu tulivyo...
Hapo zamani kulikuwa na kijiji na katika hicho kijiji kulikuwa na punda aliekuwa akitumiwa kubeba mizigo ya wanakijiji. Wenye kutaka kwenda kusaga, kuchota maji, kubebea mazao walimkodi kuwafanyia kazi zao. Mwenye punda akataka kumuuza na kuachana na biashara ya punda yule.
Wanakijiji wengi...
Waziri wa NIshati na Madini William Ngeleja akiwa bungeni, jana wabunge walimshutumu kuwa tokea ateuliwa katika nafasi yake hakuna alichokifanya katika wizara yake
Kizitto Noya na Habel Chidawali, Dodoma
WABUNGE wameibana Serikali na Shirika la Umeme nchini(Tanesco), wakitaka majibu ya...
Si jambo la tetesi tena kwamba sera na mrengo wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) ni ule wa kikristo. Hii ni kutokana na hatua yake ya kuweka wazi urafiki wake wa karibu na chama cha kikristo cha ujerumani, christian democratic union (cdu). Kutokana na urafiki huo, cdu...
Si jambo la tetesi tena kwamba sera na mrengo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni ule wa Kikristo. Hii ni kutokana na hatua yake ya kuweka wazi urafiki wake wa karibu na Chama cha Kikristo cha Ujerumani, Christian Democratic Union (CDU). Kutokana na urafiki huo, CDU kimesema...
Hivi ina maana mliotajwa hapa mamumfeel huyu jamaa? kweli ubinadamu kazi sie ambao hatujatajwa tunaona unafiki wa waliotajwa Shosti kafungua thread https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/111177-shossi-uko-wapi.html anamuomba jamaa arudi nyie mmeipotezea duh!
Mohammed...
Geofrey Nyangoro
HATIMAYE Kanisa Katoliki nchini limejitosa rasmi katika mjadala wa katiba mpya likisema kuwa linaunga mkono mchakato huo, lakini likihadharisha kuwa mchakato huo unahitaji subira, weledi na ujasiri wa kisiasa kukubali mabadiliko. Hayo yamo katika tamko maalumu lililotolewa...
Salim Said, Kwimba
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa, amesema kwamba nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi iliyofanyika hivi karibuni ni kwa ajili ya kutafutia kura na hakitakuwapo kama CCM itarudi madarakani Oktoba mwaka huu.Alisema kiwango cha fedha zilizoingizwa katika...
Brandy Nelson, Mbarali
SAKATA la polisi kuua raia kwa risasi katika kata ya Ubaruku Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya limeingia katika sura Mpya baada ya wananchi kumtaka Mkuu wa Wilaya hiyo Kanali Kosmas Kayombo kumkamata na kumpeleka kwao askari polisi aliyemuua mwenzao kwa risasi, ili...
Editha Majura
POLISI wanatuhumiwa kumtelekeza mtoto Juma Hamza (12) waliyempiga risasi na hivi sasa hali ya mtoto huyo ni mbaya kiasi cha kumlazimu kutolea haja kubwa katika kidonda kilichotokana na jeraha la risasi hiyo.Baada ya kupigwa risasi, utumbo ulitoka nje na sasa sehemu ya utumbo...
Modernization" of Girls
1970 : Love me, but don't touch me.
1980: Touch me, but don't kiss me.
1990: Kiss me, but don't do anything more.
2000: Do everything, but don't tell anyone.
2010: Do everything, otherwise I will tell everyone that you cant do anything. .
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amezungumzia sakata la Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura ya Dowans akieleza kuwa mpaka sasa hafahamu kwa nini Tanzania inapaswa kuilipa fidia kampuni hiyo ya kigeni inayodaiwa kuingia nchini kitapeli.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti hili...
Everything on girls upper starts with "B" Blouse, Bra, Bikini, Boobs.
And lower with "P"
Pants, Periods, Panties, Pussy
That's why mostly men get BP problem.
WanaJF, Kwa vyovyote vile ni ukweli usiopingika kuwa Tansco inawacheza shere Wadanganyika kwa kuwatangazia hakuna mgao ilhali umeme kila siku unakatwa kwa zaidi ya masaa kumi mpaka kumi na mbili. Hivi sasa ni saa 6 usiku tangu umeme ulivyokatika saa mbili kasoro asubuhi haujarudi na wala hauna...
Zitto njia panda Send to a friend Monday, 13 December 2010 23:40 0diggsdigg
Geofrey Nyangoro
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kupima mwenyewe kama aendelee na wadhifa wake wa naibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.