mimi ni naitwa mussa wa arusha. narudia tena kenye janvi hili natafuta mchumba ambaye atayekuwa mke wangu. akiwa mikoa hii dar es saalam, arusha, kilimanjaro, singida, manyara na tanga itakuwavizu kwan itakuwa rahisi kuonana
sifa zangu ni: nina miaka29, ni mwajiriwa serikalini, muislam...
Mi naitwa MUSSA wa ARUSHA, naitaji mwanamke ambaye yuko sirious anayeitaji kuolewa na ambaye anaishi arusha ili tuweze kuonana kwa urahisi
SIFA ZANGU
ELIMU: chuo kikuu
KAZI : nimeajiriwa serikalini
MIAKA : 30
UMBO : LA WASTANI
UREFU : NI MREFU ZAIDI YA FT5
DINI : MUISLAM
KIPATO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.