ongera sana kwa kupenda elim ya juu.mm ni mwalim wa s/msingi nliyesoma msc-hrm mzumbe tawi la morogoro 210-2011 kwa kujlpia mwenyewe.binafsi niliaandaa gunia 100 za mkaa na nkaziuza kpind cha maska pia nlikuwa nmelma alizet hekari 20 zilizonpatia gunia 120 na @ gunia nliliuza kwa...
chuo bora kpo na ndo maana hata credit za kujiunga na vyuo znatofautiana.usangalie tu kwa mtazamo wa tz, ukienda marekan chuo knachoheshimika au ni bora kurko vyote marekani ni havard university na kna sifa ya kutoa marais wanaoongoza nchi hiyo takriban marais wote wa marekan wamesoma chuon...
tuwe macho na viongozi wa makanisa wanaweza kutupotosha katika kuwapata viongoz bora.kumbuken miaka ile ya 2005 walitambili rais wa awamu ya nne anaupako wa mungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.