the selected students to pursues various degree program at university of Dar-es-salaam are kindly informed that to visit the university web site and to red carefully all important requirement that the student are supposed have, this include the various attachment that the student will be used...
kwakweli first year tuwe wastaarabu. me mwenyewe nimewasaidia madogo wengi sana lakini cha kushangaza leo hii ukiwapigia simu haawapokei wegine tumekubaliana mtaani kuwa tutakaa wote lakini ghafla wamenibadilikia. ila wakumbuke mwakani mambo yao yatakuwa magumu.
chuo kikuu cha udsm cha toa majina mapya ya firt year haya hapa.
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
OFFICE OF THE DEPUTY VICE CHANCELLOR ACADEMIC
DIRECTORATE OF UNDERGRADUATE STUDIES
UNDERGRADUATE ADMISSION FOR 2013/2014
ADDITIONAL LIST
The following is an additional list of applicants who have been...
kweli dunia ina mambo. hivi kwa nini huwa tunaendeleza mada hizi. vijana tujadili mstakabadhi wa ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo badala ya kutunishiana msuli kila wakati.
kaka soma maelekezo kwenye tovuti ya chuo yaani www.udsm.ac.tz . tarehe ya kuripoti ni 12/10/2013. mdogo wangu form zote utazipata chuo siku ya kuripoti.ubarikiwe na bwana
kaka ni kawaida lakini wengine hujitakia na wangine ni bahati mbaya kikubwa mwenyezi mungu atawasaidia kwa kila jambo kwani yeye ndiye mweza wa kila kitu. sala ni kitu pekee katika masomo kwan ukiwa karibu na mwenyezi mungu utaishi kwa amani milele
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA UDSM PAMOJA NA MATAWI YAKE YAANI MUCE PAMOJA DUCE WANAARIFIWA KUWA TAYARI CHUO KIMESHATOA MAELEKEZO YOTE MUHIMU. MASUALA HAYO NI PAMOJA NA 1.TUITION FEES
2.JOIN INSTRACTION FORM...
Uongozi wa wanafunzi chuo kikuu dar-es-salaam{ DARUSO} inawakumbusha wanafunzi wote wanaotarajia kujiunga na chuo hicho kwamba maelekezo yote kuhusiana na chuo yanapatikana ktk website ya chuo yaani www.udsm.ac.tz
kwaya ya mtakatifu flomena mabibo hosteli chuo kikuu cha udsm inawakaribisha wanafunzi wote wanaopenda kujiunga na kwaya hii. njooni tumwabudu mungu kwa kuimba .pia tunawaalika sana wanafunzi wa mwaka wa kwanza ambao wanatarajia kujiunga na chuo mwezi ujao. njoone nyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.