Ingekuwa kodi yake haitumiki na serikali basi asingekuwa na haki ya kulalamika unapouliza yeye afanye nini kama mwananchi kutatua hili tatizo ulitaka yeye ndio akasimamie huo mradi au awafukukuze wahusika? Simtetei lakini sidhani kama he is in any position to do anything zaidi yakutoa sauti yake...
Kama anahisi kachafuliwa yeye ndio aende mahakamani, very simple serikali inahusika nini hapa au nyie nendeni mkashitaki kwa niaba yake kama kimewauma, alete vyeti hatutaki upuuzi
Dont be stupid unajuaje ni taarifa za uongo? Nashauri chama chenu kuelekea uchaguzi 2020 muongeze Ilani ya kumkamata lissu mara kwa mara kwa sababu hicho ndio mnachofanikiwa kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.