Tunafundisha masomo ya CPA module E na F hasa kwa wale walio busy makazini hivyo kukosa muda wa kuhudhuria review classes kila siku. tuwasiliane tupange mda wa kukutana na kukufundisha. pia kwa wale walio na mda na wanaattend review ila wanahitaji kusoma baadhi ya topics tunawakaribisha pia...
Hata kama ma DC wapo na wenye mitandao wapo, i5 mbunge ni wajb wake kuwasemea wananchi na kuwashawishi wenye mitandao kuwa kuna watumiaji wa cm wakutosha ili washawishke kujenga. Mbunge alione hili
Naomba chama kimpangie ratiba ya ziara mikoani shujaa wetu watanzania wanaham sana ya kumuona. Hii ni opportunity nyngne kwa CHADEMA. Lwakatare kuwekwa sero amefanya wanachama na mashabk wengi sana wa chadema na kawa maarufu tanzania nzima. Ana uwezo wa kugombea ubunge popote na kuchukua bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.