Ukifuata sheria za ngeli unatkiwa kusema 'kaka WAngu wameo',,, kwa kua ngeli ya YU-A-WA tu! Ndo inayotumika kwa binadamu na baadhi ya viumbe hai vingine.
Habari zenu wadau mnaofurahia kupata mkopo na mnaosikitika? Mi nipo kwa wanaosikitika japo sio wengi sana ila naungana nao sababu na mi nimekosa mkopo! Jamani maumivu ni makali sana bora ningefeli2 sahv ningeshajpanga ktambo. Sjw hata la kufanya coz mi ni mtoto wa mkulima. 2peana hata ushaur!
Wadau ninatafuta ofisi za elimu ya watu wazima Morogoro,naomba mwenye kufahamu zilipo ofisi za Elimu ya watu wazima hapa Moro anielekeze ni mtaa gani!ahsanteni.
Nenda Sabasaba jengo la ccm mkoa hapo pia kunakituo cha elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.