Ndugu zangu kuna mgogoro wa ardhi unaondelea hivi sasa maeneo ya Majoe na mtu anayedai kwemba hilo ni eneo lake. Mwanzoni mwa mwezi huu zaidi ya nyumba 48 wakazi wake walitolewa kwenye nyumba zao kwa amri ya Mahakama ilihali kesi ya msingi bado ipo Mahakamani.
Wananchi wamekosa kabisa...
Nauza digital blood pressure machine iko katika hali nzuri sana.
Bei sh 140000.00 mazungumzo yako.
Punguza gharama za kwenda kucheck BP kwenye clinic .simu 0712652110
Nauza computer Acer na Hp all in one zipo katika hali nzuri sana.
Acer specifications Ram 8gb, Hdd465
seriously buyer contact 0712652110
Dar Majohe
Price 450000 neg
Nauza Dell desk top Intel core 2 duo,8GB na 320HDD.Zipo zaidi ya kumi ,from a closed office in UK. Ni nzuri safe kwa mtu anaehitaji kufungua computer centre.Seriously buyer only to contact 0712652110 Dar Bei 350000 mazungumzo yako .Huo mzigo sio wa kukosa
Kura za kumpata spika zinapigwa ndani ya BUNGE, nilitegemea CCM itapitisha wagombea kama watatu hivi na kupigiwa kura za kugombea nafasi ya uspika . Ofisi ya katibu wa BUNGE ndio hutoa jina la atakayepigiwa kura .
Je kama Tulia alipigwa chini na ofisi ya BUNGE itakuwaje. Dr Tulia alitakiwa...
Mpaka dakika hii mwenzenu sielewi dhana ya form za kugombea nafasi ya uspika kutolewa kwenye ofisi ya CCM.
Mimi dhana yangu ni kwamba ukishakuwa mbunge wa chama fulani nafasi yeyote ile ya uongozi ikitokea bungeni ni suala la kumuona katibu wa bunge na kuchukua form na kugombea.
Misingi ya...
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.
Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli...
Mwenzenu kuna mdada nilimpenda, siwezi kusema na yeye alinipenda. Nimekula uroda mara moja tu lakini amekula sana hela zangu. Najua ana watoto 2 wa baba tofauti, nimeamua kuwa mbali kabisa, sijutii pesa, najutia muda niliopoteza kuchati nae.
UPDATE
Jamani yule mdada jambazi amefulia sana,hata...
Mpaka sasa Wanachadema hawajui hatma ya makamu mwenyekiti wao. Tundu Lissu aidha amegeuka mkimbizi au bado ni Mtanzania.
CHADEMA sasa hivi inapita kipindi kigumu sana kufuatia Mbowe kukabiliwa na kesi ya Ugaidi.
Wengi tulitegemea Lissu angekuwepo kwenye jopo la mawakili katika kumtetea Mbowe...
Najaribu kutest maji tu, Nina computer desk top All in one. ni nzuri sana kwa mtu anaetaka kufungua computer class.Ziko 17 ni dual core 2 na icore 5 ,Napendelea kuziuza zote kwa pamoja ibox me with your price
Hakika Watanzania tumesikia kauli za mkuu wa Jeshi hivi karibuni, kauli tata sana kwa kiongozi wa juu wa serikalini. Kwanza tulisikia alipotoa kauli tata kuhusia na kesi ya Mbona ambayo tayari ipo mahakamani.
Sijui kwa kutojua au uzembe wa kufikiri kwamba kesi ikishafika mahakamani sio jambo...
Jamani niambieni ni nchi gani hapa duniani ina wabunge wa kuteuliwa na viti hapa duniani . Mimi nawaita mzigo wa walipa kodi tunataka katiba mpya ili tuwaengue kwenye nafasi zao
NAUZA floor scrubbing machine ziko mbili pamoja na pad zake , ni nzuri sana kwa wale wenye mahoteli au tenda za usafi. Bei ni sh 400000 kwa machine moja na pad 3 , Anehitaji piga simu 0712652110 Dar.
Nauza motor za umeme ni mpya kabisa toka kampuni ya maarufu sana ya vifaa vya umeme ya ABB , bei ni sh 400000 kila moja . Kwa anaehitaji piga simu 0712652110 DAR, Angalia label ya kibati cha silver kwa maelezo zaidi ya motor
Nchi za EU wanafikiria kuanzisha mpanga wa covid vaccine passport miongoni mwa nchi wanachama. Hii ni moja ya mkakati wa kukabiliana na covid 19 miongoni mwa raia wao wanaposafiri. TUTAELEWANA TU
======
A patchwork: Europe and COVID-19 vaccination passports
European Union leaders moved...
Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.
Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na...
Tanzania jana ilikuwa kwenye darubini za Jumuiya za Kimataifa kuhusu kuwasili kwa Tundu LISSU. Taasisi nyingi zilitegemea kungetokea vurugu nchini na polisi kumkamata Tundu LISSU.
Kwa ujumla mapokezi yalikuwa salama na Tundu Lissu hakukamatwa, hicho ni kigingi cha kwanza ambacho tumekivuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.