Hospital za binafsi ni wezi , wezi , wezi wakubwa , siku zoto wanabambikizia bili watu wenye bima . Ukiwa medical personel utagundua wanavyowaibia walala hoi.. Tatizo ni serikali kutokuwa na chombo kinachowafuatilia . Kama huamini nenda hospital tatu ukawaambia una tatizo fulani , utaona...
Chadema ni bunch ya hooligan tu ndio maana viongizi wa juu wanakuwa vingamganizi Mbowe Lema Mnyika Msigwa .,.Viongozi wakuu wa chama mpaka kwenye kanda ni wao wao tu .Akiingia mtu mwungine ataondoka .yuko wapi Nyalandu au Sumaye
Wafanyakazi bandari fungueni masikio na akili zenu kuhusu hawa jamaa wa DP World endapo watashika madaraka. Kwenye kikao cha Prof Mbarawa na wahariri wa magazeti nilimsikia katika mkuu wa wizara ya viwanda na biashara akisema hakuna mfanyakazi atakaepunguza na hawa jamaa wa DP World. Hawa jamaa...
Ombi langu ni moja tu kwako Mh RAIS , Wezi wa fedha za plea bargain waburuzwe mahakamani ili kulinda heshema katika uongozi wako . kIla mtanzania anashauku ya kujua hatima ya majambazi haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.