Msaada,,kioo cha mbele cha dereva hakipandi wala kushuka,ila vioo vingine viko vizuri,wapi naeza kubadilisha hi mashine ??gari ni mercedes c class
Pia natafuta maeneo kwa arusha wanaofanya service Mshana Jr
Umeongea kweli.mtu unapoolewa kama wewe ni mwanamke mwenye ndoto zako inakua ngumu ku adjust manake sasa mnakutana watu wenye fikra tofauti.inaweza kukurudisha nyuma au kutokuendeleza maono yako kabisa.cha muhimu pande zote mbili mkubaliane vipaumbele vyenu ni nini.Ila huyo mwanaume ni mbinafsi...
Asante najitahidi kupima kwa macho sina mizani..nafanya kila kitu kama video zinavoonyesha..nikapatia siku ya kwanza na ya pili kiasi baada ya hapo ndo balaa likaanza..na wasiwasi na oveni pia manake hata haionyeshi ni joto kiasi gani..ni jiko la gesi lenye oven chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.