Ni kweli kabisa,Tena nawashauri wote ambao hawajaoa kwa kuhofia gharama za harusi,hiki ndio kipindi chenu,msifanye ajizi oeni mapema Tena gharama no mahari tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye mbili si sawa na mwenye moja,angalau uislam umetoa ruhusa ya kuoa mpaka 4 na ruhusa ya kuacha na kuachwa. Katika hili Kuna manufaa mengi sana na ruhusa wengi imewanufaisha, ndoa haiend kwa kulaznishwa mnaweza kuuwana buree
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto kubwa sana.karibuni kuchangia kama kuna makosa ya uandishi nisameheni.
Mkuu ni ipi njia rahis tayar una coordinates za eneo na unataka kuproduce boundary map je utumie gis software kama QGIS, ArcGIS au utumie autocad Civil 3D???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.