Achana na roho ya kisasi, utajuta baadae!Alafu mbona unajifanya una uchaji wa Mungu na kumbe ....! Haijalishi mbaya wako alikukosea nini lakini hastahili kutishiwa kutolewa uhai wake. Huoni hata hatari ya kuja kuanika huu upuuzi wako hapa, kesho akauawa si utaambiwa ni wewe?Tuliza hasira...
kimtokacho mtu kinywani mwake ndicho kiujazacho moyo wake....
Huyu dada nakumbuka alikuwa na bifu na drphone hapa mara ya mwisho kuwasoma. Sasa naona karibu watauana.
binadamu wengine ni wabaya/hatari heri wanyama pori. wanajifunika ngozi ya kondoo na ndani ni mbwa wa mwituni kabisa. rafiki mnafiki hana tofauti na muuaji.
Do not trust people until your are satisfied enough with the reason they give you to trust them. mijitu mingine ni BS! Heri kufanya...
Hapo sasa, iwe kiujumla au binafsi hakuna atakayekubali hili.
Mkurya mwenyewe atakana kuwa wanatahiri wanawake, hata muhehe atabisha kula mbwa
Sasa iweje mchaga akiri hii 'bad practise'
hizi tamaa za mwili zilizopitiliza.....
Mama jirani yetu alijiua baada ya kugundua binti yake wa kumzaa alikuwa akitembea (si barabarani) na baba yake!
Aliamka siku hiyo akaenda saluni kutengenezwa vizuri akarudi akabwiya klokwini za kutosha basi....
(msiniulize kabila tafadhali)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.