Search results

  1. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Hiyo neurotoxicity ndio nini? My biggest worry ni kwamba nimetumia mara nyingi sana
  2. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Hivi hamna vipimo vya kujua kama dawa fulani ina usugu kwa mtu au haina?
  3. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Nimeamua kubadilika kuepukana na risks, ila nataka kujua tu kama so far niko salama
  4. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Kweli kaka... ushauri mzuri sana, nataka tu kujua kwa kipindi nilichotumia kama sijapata changamoto yoyote kama usugu n.k
  5. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Hayo magonjwa ni hatari lakini nashangaa watu hawayaogopi, wanaogopa mdudu peke yake
  6. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Ushauri mzuri, mimi sio kwamba nataka kufahamu hilo ili niendelee na mtindo hatarishi, nauliza tu ili kupata peace of mind basi...
  7. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Sawa lakini kwa kipindi ambacho nimetumia siwezi kuwa nimejisababishia usugu... wasiwasi wangu ndio uko hapo tu...chanzo nimeshakifahamu na nitabadilika
  8. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Ushauri mzuri sana, nimeamua kuacha pombe lakini kuna risk ambazo ni bahati mbaya kama kujichoma sindano n.k je nikipata risk kama hizi PEP itaweza kunisaidia bila kujali historia yangu ya nyuma?
  9. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Kutokana na mtindo wa maisha niliokua nao (ulevi) nilijikuta kwenye hatari ya kupata maambukizi ya VVU mara nne baada ya kufanya ngono zembe au kupata ajali ya kinga kupasuka etc. Kila baada ya kupata ajali nilikua nakimbilia dawa za PEP, sasa mara ya mwisho kuna mhudumu aliniambia dawa za PEP...
  10. E

    Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

    Nitafanya hivyo what if nikiwa exposed kwenye risk kwa bahati mbaya, dawa za PEP zitanisaidia bila kujali nimeshatumia mara nyingi kabla?
Back
Top Bottom