Search results

  1. 6 Pack

    Hili ndio suluhisho la mgogoro wa Congo na Rwanda, kati ya Kagame na Tshisekedi

    Kuna machaguo mawili ambayo wahusika wenyewe watatakiwa kuchagua. Na ikishindikana kuchagua kwa maana wote wawili kutochagua chaguo lolote, au kila mmoja kuchagua tofauti na mwenzake, basi itapigwa kura ambapo viongozi wataoongoza mkutano huo ndio watapiga kura kuchagua chaguo moja ambalo...
  2. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Sijui una umri gani mkuu? Kwani kuwa mwanajeshi ndio hauwezi kuuwawa? Mbona wanajeshi wa Israel waliuwawa wengi sana kule Gaza na Lebanon? Mbona wanajeshi wa Russia wanauwawa katika vita vyao na Ukraine, lakini bado wanatoa kipondo kwa Ukraine? Mbona hata wanajeshi wa Marekani waliuwawa kule...
  3. 6 Pack

    Hivi 05/02/1977 ni CCM ilizaliwa au TANU na Afro Shiraz Party ziliungana na kuwa Chama kimoja?

    Mwashambwa kafanikiwa kuwa chawa tu. Lakini muandiko wake unaonesha ni kijana wa miaka ya 90's tu. Mambo ya TANU hayafahamu.
  4. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Diplomasia haiendeshwi kienyeji hivyo mkuu. Hata Marekani na washirika wake pamoja na kuumizwa na kile kinachofanywa huko Ukraine lakini hawajaingia vitani kuitwanga Russia. So kwanini sisi tufanye hivyo wakati wakongoman wenyewe wapo busy na kina Kofii Olomide?
  5. 6 Pack

    Picha: Hawa ndio viongozi shupavu ambao Joyce Banda, PAKA na washirika wake M23 hawatokuja kuwasahau kamwe

    Gen Mwamunyange ndio alieliongezea jeshi letu ubora, uwezo wa kijeshi na heshima kupitia operation mbali mbali za jeshi zilizofanyika chini ya uongozi wake. M23 na wale waliotaka kumpindua Ngurunziza kule Burundi wanamfahamu vizuri alivyotibua mipango yao.
  6. 6 Pack

    Picha: Hawa ndio viongozi shupavu ambao Joyce Banda, PAKA na washirika wake M23 hawatokuja kuwasahau kamwe

    Jicho kama kala kungu. Ingia sasa 18 zake uuone usoja wake 😂😂😂
  7. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Mkuu wewe nafikiri sio mfuatiliaji wa mambo ya kimataifa. Ni kwamba njia ya kuelekea Rwanda, Congo na Burundi ina watu wengi wenye tija kuliko njia ya kuelekea Zambia na Malawi. Ni kwa sababu wewe haujawahi kufuatilia nchi ambazo zimekuwa zikitumia zaidi bandari yetu. Halaf kingine Zambia ni...
  8. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Mkuu acha kwanza mihemko ili uwe na muda wa kusoma vizuri kilichoandikwa, uwe na muda mzuri pia wa kutafakari unachoandika. Na zaidi uwe na muda mzuri wa ku comment bila kupindisha pindisha mada husika. Mimi nimezungumzia wanyarwanda ambao walikuwa hawana vibali na sio wale wenye vibali. Halaf...
  9. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Hawana ujanja wa kututwanga. , maana silaha zao zote wanazopitisha bandarini tunazijua vizuri. Hivyo hawana ujanja wa kututisha kupitia silaha hizo. Ndomaana Kikwete kipindi kile cha kutaka kuingia nao vitani, alipoenda pale Kagera katika sherehe za kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki katika...
  10. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Oh hapo nimekuelewa mkuu. Lakini kumbuka katika huo ujenzi Rwanda pia imekubali kuchangia, wakati Zambia haijatoa mchango wowote ili reli iweze kufika kwao. Mpaka leo TAZARA imekwama kwa sababu ya kukosa maelewano mazuri kuhusu namna ya kuijenga upya reli ya TAZARA. Lakini Rwanda linapokuja...
  11. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Kwahiyo ndio tuamue kuchagua upande mmoja, ili tuuchangie upande mungine ambao haujawahi kutuchokoza, wala kutuvamia katika ardhi yetu?
  12. 6 Pack

    Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

    Mkuu mbona haueleweki.. Mara useme soko la Congo kubwa kuliko la Rwanda, mara umlaumu raisi kwa vifo vya askari wawili ambao wametumwa kulinda hilo soko kubwa la Congo lisichukuliwe lote. Sasa hapo point yako ni nini? Kuwarudisha nyumban askari unaosema wanakufa ili hilo soko kubwa la Congo...
Back
Top Bottom