Search results

  1. Moto wa volcano

    Hivi inakuaje mwanamke mmeachana halafu hataki akuone upo na mtu mwengine?

    Umeandika kwa ukali sio bure lazma una stress za maisha
  2. Moto wa volcano

    Hivi inakuaje mwanamke mmeachana halafu hataki akuone upo na mtu mwengine?

    Kwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako . Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
  3. Moto wa volcano

    Aibu sana kwa mwanaume kushindwa kuihudumia familia yake

    Umesema kweli nafuu mtu abaki kujitafuta kimaisha ili kuepuka fedheha na lawama
  4. Moto wa volcano

    Aibu sana kwa mwanaume kushindwa kuihudumia familia yake

    Ni aibu sana kwa mwanaume kuitelekeza familia yake kwakisingizio cha kuachana / kukosa maelewano na mwanamke aliyemzalisha. Sifa kubwa inayo mueleza mwanaume ni wajibu wake kwa familia yake . Mwanaume aliyekamilika hawezi kukubali watu wengine wamlelee watoto wake wakati yeye yupo hai , that is...
  5. Moto wa volcano

    Mkiachana na mwanamke hakuna mgao wa mali. Anatakiwa aondoke na begi lake la nguo

    Ina umuhimu sana , haki za wanaume zina dhulumiwa kwa utapeli wa ndoa
  6. Moto wa volcano

    Mkiachana na mwanamke hakuna mgao wa mali. Anatakiwa aondoke na begi lake la nguo

    Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
  7. Moto wa volcano

    Duniani kote kipindi cha uchaguzi wanasiasa huwa wanatafuta Booster za Viongozi wa dini /wasanii na wafanyabiashara

    Sio tu Tanzania Duniani kote huwa kikifika kipindi cha uchaguzi wanasiasa wanatafuta ukaribu sana na wasanii na viongozi wa kidini maana ni makundi yenye ushawishi kwenye Jamii . Wafanyabishara huwa wanatumika kama Donors ku sponsor kampeni za kisiasa kuongeza nguvu ya fedha , matajiri huwa...
  8. Moto wa volcano

    Ukiwa mfanyabishara kaa mbali na makundi ya kisiasa

    Haujakosea mifano ya waliowakuta ipo mingi
  9. Moto wa volcano

    Ukiwa mfanyabishara kaa mbali na makundi ya kisiasa

    Ukiwa mfanyabishara Afrika /Tanzania kaa mbali sana makundi ya kisiasa usioneshe kufungumana na upande wa chama chochote au mtu yeyote . Nchi zetu hizi za kiafrika bado utawala wa kidemokrasia haujakomaa kama nchi za wenzetu ambazo unaweza hata ukawa mfanyabishara wa makampuni mbali mbali na...
  10. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Kufahamika kwa Kenya sio kigezo kwamba ndio wapo ahead yetu sisi, hata Haiti inafahamika kuliko South Africa , lakini ni kati ya nchi maskini kupita maelezo , zingatia the world nowadays is so much open , we have access of alot of information bila hata kuzunguka , kutokana na kukua kwa...
  11. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Nadhani mnaichukulia poa sana TZ , na kwakuwa haya maneno nimezungumza mzawa but trust me we are doing very well in many aspects
  12. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Ndio ni kweli nimepanga kichwani kutokana na ushaidi ulioshiba wa kimazingira
  13. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Sio kweli bro , we are so smart , nenda China huko utaona wabongo walivyo take over
  14. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Hakuna nchi ambayo haina changamoto ,hizo ni changamoto zinazoweza kutatulika kadiri nchi inavyopata mabadiliko ya uongozi
  15. Moto wa volcano

    Watanzania wapo kwenye 3 bora ya nchi za kijanja Afrika

    Afrika na watu wake nawajua sana, ukitaja nchi za watu wajanja wenye akili Afrika hauwezi kuicha TZ. Katika rank mpangilio unaanza na Nigeria, SA halafu TZ inafuatia. Tupo vizuri kiuchumi, entertainment na maeneo mengine mengi nikitaja hapa page hii haitotosha. Ukitaka utambue ujanja wa...
Back
Top Bottom