Search results

  1. Kang

    Je kuna sheria ya kusikiliza simu zinazoingia Tanzania?

    Hakuna uwezekano WhatsApp ipo end-to-end encrypted. Njia pekee ya kupata msg/call za whatsapp ni kuwa na full control ya moja ya simu zinazohusika katika mawasiliano.
  2. Kang

    Ubora na utendaji wa hii upoje?

    Ongeza RAM ndo ushauri wangu mkubwa, max out 32GB. Pia 256GB space inaweza kukutesa.
  3. Kang

    HOW TO SOLVE DEEP SEEK REGISTRATION CODE ERROR

    log in with google sikupata step ya code kabisa
  4. Kang

    Msaada anae weza tambua hizi code

    Hizo ni msg za (DCB) Direct Carrier Billing ni njia ya kufanya malipo moja kwa moja kupitia account/balance yako ya simu, so hapo kuna kitu kinataka kula balance yako. So kutakuwa kuna malware umeinstall kwa chance kubwa, kama umeinstall app yoyote ambayo haijatoka playstore yaani umetumia apk...
  5. Kang

    MSAADA: Tatizo la Halotel Mobile Wife mFi_0428F2

    Jaribu kufanya reset. Kama unachomoa chomoa SIM card mika miwili unaweza ukawa umevunja kitu.
  6. Kang

    Ni nani anahujumu IP Address za Tanzania?

    Na tatizo jingine ni kuwa TZ ni soko dogo sana kwa hizi kampuni, ni rahisi kuiblock bila kuingia hasara, nina uhakika kuna matatizo makubwa zaidi kutoka nchi kama US kwa idadi tu ya watu ila kamwe hauwezi kuiblock US maana biashara nyingi inapatikana huko.
  7. Kang

    Ni nani anahujumu IP Address za Tanzania?

    Ni uzembe wa aina fulani kati ya serikali, ISPs wetu na watanzania kwa kiasi fulani. Kuna malware, bots na "residential proxy" nyingi TZ ambazo hazichukuliwi hatua kuziblock. Pia nina wasiwasi simu na device mbalimbali za "kichina" zinakuja na malware tosha ndani yake.
  8. Kang

    Hivi ni kweli kuna satellite uko angani yaweza piga picha watu na kurekodi sauti katika uso wa dunia?

    Picha kwa kiasi fulani inawezekana, sauti hapana. Sauri haiwezi kusafiri kwenye space kwa vile kuna vacuum so hata wangeweza kusikilixs kwa umbali huo kutoka space isingewezekana. Raisi Trump alitweet picha za siri kwa "bahati mbaya" zinazoonyesha uwezo wa satelite za siri za US. Unaweza kuona...
  9. Kang

    WhatsApp kuacha kufanya kazi simu za zamani Jan 1

    Meta wameamua kuacha kussuport simu zenye Android KitKat (4.4) kwenda chini kuanzia Jan 1 2025. Baadhi ya simu maarufu ambazo zitaacha kufanya kazi ni Samsung: Galaxy S3, Galaxy Note 2, Galaxy Ace 3, Galaxy S4 Mini Motorola: Moto G (1st Gen), Razr HD, Moto E 2014 HTC: One X, One X+, Desire 500...
  10. Kang

    Simu imeblokiwa msaada wa ku unlock

    Ina weza kuwa kitu chcochote, simu ya wizi, mkopo, IMEI iko blocked, rooting imeenda vibaya, simu ya kampuni etc. Ni kurudisha tu ulikutoa au kuuza kama spare parts.
  11. Kang

    TUPENI ABC Kwa sisi tunaotaka kuagiza laptop Zanzibar ushuru ukoje

    Kwa kawaida hautatozwa ushuru kwa kuwa na laptop yako kwenye begi kwa vile ni kawaida watu kusafiri back/forth na laptop.
  12. Kang

    Naomba ushauri nisome programming language gani?

    Hakuna kitu kama best language, ila ningekushauri ujifunze TypeScript au JavaScript kwa kuwa unaweza kufanya karibia kila kitu, mobile (ReactNative), desktop (Electron), web na backend(Node). Unaweza ukaanza hapa then tafuta ya TypeScript. https://www.youtube.com/watch?v=2qDywOS7VAc
  13. Kang

    Nawezaje kutumia line inayotumika kwenye router ya unlimited internet kwenye simu au pocket router?

    Inabidi ujaribu tu, inategemea na wenye mtandao walivyoamua.
  14. Kang

    Simu yangu Oppo nafungiwa WhatsApp kila muda

    Simu za "kichina" zina shida kwa jinsi WhatsApp wanavyokagua kama app/apk ni genuine.
  15. Kang

    Msaada kuhusu Screen mirroring Television ya LG

    Hiyo TV na simu zinatumia wifi network moja na network ya nyumbani sio ofisini? Pia hakikisha TV umefanya update yakishindikana hayo jaribu simu tofauti hasa Samsung na Swart View.
  16. Kang

    Msaada VPN

    VPN ya nini kwako?
  17. Kang

    Setting ya 4G pocket router

    Kwanza hakikisha kama hiyo router kweli inasupport network ya voda. Frequency za Voda hizi https://www.frequencycheck.com/carriers/vodacom-tanzania fananisha na device yako. Settings ziko kama hivi au tafuta simu yenye voda copy apn settings APN name: internet Username: Password: PDP Type: IP...
  18. Kang

    Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

    Thread hii kila wiki mtu anakuja na remix yake, wabongo kwa kupenda kupondana na kushushana hatujambo, labda tengeneza App ya kuponda watu.
Back
Top Bottom