UTANGULIZI tu unienipa kichefuchefu hata nimeonelea nisipoteze data yangu kusikikiza.
Muulizeni kafulila na masisism.
tri 13 hizi zitalazowekezwa dar zitaleta uwekezaji wowote ktk product zitazotumika ktk uwekezaji huo, au kutakuwa ni chanzo cha any production of goods nchini ili kuongeza...
Sahihi. Ni bahati kwake kwa kuwa yeye ni mznz.
Lkn kubwa zaidi Wanawake Chadema wapewe mauwa. Wangereza kumchagua yyt.
Tatizo ni Lissu. Ana nafasi 7 za kuchagua katibu mkuu, manaibu katibu na wajumbe wa5 wa kamati kuu. Hakuwa na jicho kama jicho la wazee wa TANU kumchagua Mzee Nyerere ili...
Politics is about people's mindset. Taasisi ya siasa inahitaji ijiendeshe yenyewe hata kama aliyeteuliwa ni mbovu lkn ana wafuasi lukuki. Sheikh Ponda ana wafuasi sio kijiji ni nchi
Uchaguzi ulikuwa halali. Hija yangu ni kwa mwenyekiti mpya angefikiri ziada na kutafuta legitimate forums wamsapoti. Kwa hiyo kwake anatumia nafasi za kuteuwa alizonazo.
Ikitokea wakati wa kudai uhuru. chama cha tano kilichokuwa na waislam wengi waliopendekeza Mzee Nyerere kuwa kirana wa...
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.
Utawala ili uitwe wa kiislam una misingi mikuu minne.
Uwe unakusanya mapato
1. Yasiyotokana na Riba. Kwa naama mfumo wa kibenki na bima, morgage utakuwa interest free.
2. Mapato yasiyotokana na pombe...
Ndugu unaujua mfumo wa kiislam. Ninaakini ukisikia misingi yake utaupigania Ukutswale.
Utawala ili uitwe wa kiislam una misingi mikuu minne.
Uwe unakusanya mapato
1. Yasiyotokana na Riba. Kwa naama mfumo wa kibenki na bima, morgage utakuwa interest free.
2. Mapato yasiyotokana na pombe...
Majukwaa yote hayajafurahishwa na teuzi za Lissu.
Wakati wa kupigania uhuru wazee waswahili waanzilishi wa TANU, waliamua kwa makusudi kumchagua Nyerere kutokana na dini yake, kutokana na upinzani walioupata kutoka kwa wakatriso ktk harakati za kupigania uhuru. Kwa kuwa wakatriso walikuwa...
Shukran Maalim kwa falsafa yako. Napenda kukuuliza na sihitaji unijibu. Kwann viongazi wa chadema wanapotembelea mikoa ya mwambao huvaa kanzu za kiislam na kofia.?
Au kwanini wakati wa kampeni kuwatumia viongozi wenye ushawishi wa kiislam kama tambara la deki au bulldozer.
Hiki ndicho...
Unazungumzia kipindi cha Prof Jafari na Mzee saidi. Au ushindi wakati wa ukawa. Nikupe tu alert kuwa kuna majimbo bila makubaliano chadema hatoboi. Kinondoni, ubungo, ilala, temeke, mbagala, kigamboni.
Nafikiri unakumbuka majibu ya wenyeji wa Dar ktk mkutano wa kwanza wa chadema na jukwaa...
Hukumbuku Lissu alixhofanya kwa ACT.
Umesahau. Walitamka na kuwataka wanaCHADEMA wote walio Unguja wampigie Kura Maalim.
Na Maalim akamuunga Mkono Lissu. Bila ya kauli ya Maalim kwa wana ACT, Lissu angeangukia pua.
Sasa kama kuna mkakakti wa Waislam kupewa mkono wa kwa kheri chadema ili...
Unadhani hakuna wenye weledi ktk jamii yetu. Kwann wanasita kujiunga na chadema. Kwasababu ya hisia hizi nazojaribu kuweka sawa.
Viongozi wa dini waliosuluhisha walifanikiwa. TEC walifanya hii lobbying na wameshinda. Sasa Lissu hana na kufanya zaidi ya kwenda kupiga magoti kwao, na atakuja...
Hoja niliyosimama nayo ni hiyo. Kuwa watz wanajua kuwa waislam wanakandamizwa.
Na watafuta hifadhi. Tulidhani chadema baada ya kukandamizwa miaka 7 hii wamgeweza kutafuta namna ya kuwavuta wale waliokandamizwa miaka yote 60 ya uhuru.
Lkn hali haiko hivyo. Kitakachotokea watu hawatopiga...
Unashindwa kuelewa. Kama ungekuwa mtihani ungepata zero.
Kwani hujui maana na kazi ya sosholojia.
Ngoja nikupeleke shule kidogo.
Sosholojia ni elimu ya kufikiri inayohusiana na namna gani imani, itikadi, mila, desturi, hali za jamii moja inavyoweza kushawishi jamii nyingine.
Elimu ya...
Umeanza kunialewa baada ya kuona umejenga hoja ingawa ni finyu.
Waislam wengi wako ACT. Wengi ni wenzangu tuliotoka CUF Ngangari. Nilipowauliza kwann mmeamua kwenda ACT wengi walijibu tunafata Sief, mimi sifati mtu, dini wala kabila. Ninafata falsafa cha taasisi. Na nimeridhika na ile ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.