Search results

  1. Z

    Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

    Ukiwa na njaa halafu ni mvivu lazima ujikombekombe. Utakula wapi bila teuzi?
  2. Z

    Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

    Kwani wewe unafikiri ameyasema tu bila ridhaa ya mtu fulani mkubwa? Wakati akiyasema hayo hukumuona huyo mtu fulani mkubwa kama anatoa tabasamu bashasha? We ni bumunda tu. Hata siasa zenu za CCM huzijui
  3. Z

    Tetesi: Boniface Jacob (Boni Yai) yupo Dodoma, kuna nini?

    Wanasemaga kila mtu ana bei yake....
  4. Z

    Danadana dhamana ya Dkt. Slaa; Wakili Madeleka ampongeza DPP kwa kutumia Sheria vibaya kukandamiza Watu

    Nchi ya kipumbavu sana. Halafu utakuta viongozi wanaofanya huu upumbavu leo wapo misikitini na kesho/keshokutwa wamejaa makanisani. Umbwa kabisa. Acha Trump atubane labda tutapata akili ya kuwang'oa.
  5. Z

    Baada Marekani kujitoa katika misaada ya bure duniani, haya basi China iliyokuwa inajitutumia ije!

    sisi ni mafala wa kuokolewa tu hatuna akili ya kujiokoa ingawa tumebarikiwa kila kitu
  6. Z

    Trump amechomoa betri ghafla, serikali za Afrika zenye viongozi walioshindwa kutumia rasilimali za nchi zao hawajui nini wafanye

    Kudos kwa Trump. Haya mambo yalipaswa kufanyika tangu miaka mingi, sasa tungekuwa na akili. Utasaidiaje watu wenye hela nyingi mpaka wanaweza kulipa millions kwa kila goli linalofungwa kwenye mechi ya mpira?
  7. Z

    Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

    Kiama gan wakati asilimia kubwa ya hela ya misaada inaishia mifukoni mwa viongozi. Nashangaa kuendelea kutupa misaada huku wakijua hela zao zinaliwa. Na mataifa mengine makubwa yafuate mfano wa Trump.
  8. Z

    Pre GE2025 CHADEMA walia na rafu kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti. Team Lissu waliwa vichwa ili kumpa ushindi Mbowe

    Miaka yote nasaka tonge ila pia niliwapa airtime kubwa chadema. Sasa siasa basi, najikita kwenye tonge tu
  9. Z

    Pre GE2025 CHADEMA walia na rafu kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti. Team Lissu waliwa vichwa ili kumpa ushindi Mbowe

    Mwanzoni nilimlauku Lissu lakini sasa hivi namshukuru sana. Yaani tumekuwa tunauziwa mbuzi kwenye gunia miaka yote hii....watanzania ni walewale, ccm kama chadema na chadema kama ccm. Labda kizazi hiki kifutike. Tusake tonge bandugu
  10. Z

    Kuhusu Mbowe na COVID 19 kula deal, nimesikitika sana-sana

    Mie hata kufuatilia nimeacha kabisa. Nasakaa tonge tu. Watanzania ndiyo walewale, CCM kama chadema....labda tufe wote wabaki watoto wadogo
  11. Z

    Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

    Hawa bora wametifuana....tuelekeze nguvu zetu zote kwenye kulisaka tonge....wanasiasa ni walewale
  12. Z

    Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

    kiherehere....si angepiga kimya mpaka wakate chain yote
  13. Z

    Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

    Ndiyo maana nimesema uzoefu wangu kwa kampuni za private nilizopita...mfano wa range; utakuta grade B mshahara wake unaanzia 1M mpaka 1.5M so watu wa grade 1 wanaweza wakawa na mishahara iliyopishana kidogo
  14. Z

    Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

    Navyojua mimi hata grade za mishahara zina range, yaani unakuta ni grade moja lakini ina mshahara wa chini mpaka wa juu.... so siyo laIma mishahara ifanane mkiwa level moja....hii nimeona sana kwenye makampuni ya private....sina uzoefu serikalini
  15. Z

    Mwenyeketi wa CHADEMA Mkoa Asema walimpa Lissu Nafasi ya Kugombea Urais Kwa sababu Alikuwa anaweza kuropoka dhidi ya Hayati Magufuli Lakini hana uwezo

    Nakuchukia sana na mabandiko yako ya kichawa ila kwa usawa huu CCM haina mpinzani. Mfupa uliomtoa jasho Magufuli naona Samia kaumumunya tu ukayeyuka. CDM now iko vipande vipande na haitakaa sawa kwa muda mrefu baada ya uchaguzi wa ndani. Ila ni jambo jema wameonyesha rangi zao halisi now.
Back
Top Bottom