Search results

  1. M O N S T E R

    Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

    Mission home, dah......! Vijana wetu,mhh....!
  2. M O N S T E R

    Japo Hakuna Ajuaye Sababu za Kutwaliwa Kaka, Isipokuwa YEYE, Kuna Watu, Saw It Coming, Wakasema, Wakapuuzwa! Akatwaliwa!. Dada Ukisikia, Usipuuze ili

    Atwaliwe tu kwani ndiyo itakuwa furaha ya wengi(majority). Though I don't believe in your 'jicho la tatu' or 'voice from within' or whatever you call it ila akitwaliwa frankly speaking it'll be a relief to the majority but so sad kwa ndugu, jamaa na marifiki.
  3. M O N S T E R

    Marufuku waliobadilisha Jinsia kushiriki katika michezo ya wasichana na wanawake

    Imagine dume linajitambulisha kwamba ni jike liingie kwenye boxing eti lipambane na wanawake, so unfair. Trump is hundred percent right on this one, wanawake wabaki kuwa wanawake na wanaume wabaki kuwa wanaume until the end of time.
  4. M O N S T E R

    Uchambuzi: TRUMP na suala la Marekani kutumbua jinsia mbili, Wamefikaje huko?

    Machoko chali, on this matter Tramp is doing great.
  5. M O N S T E R

    Trump asaini agizo jipya la kuwakataza waliobadili jinsia na kuwa wanawake kushiriki kwenye michezo ya wanawake

    Kwahiyo hizi gender artificial kazipiga ban? Okay tuendelee na zile original, male and female genders to the infinity.
  6. M O N S T E R

    Ushauri: Idara ya Makumbusho ya Taifa ihifadhi baadhi ya vitu alivyotumia JPM wakati wa uongozi wake

    Bila kusahau cartridges za kwenye shambulio walipomshambulia Lissu na kumjeruhi, hatutamsahau kwa hilo na funny enough yeye yuko six feet under ila Lissu bado anadunda.
  7. M O N S T E R

    Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

    Tumeishi sana kimagumashi mpaka sasa tunatumia passports za ughaibuni but that's beside the point. Sijasema asihukumiwe, read and understand the concept. Issue ni kwamba kwanini wahalifu wafanyao uhalifu wa kutisha hawachukuliwi hatua wakati those with lesser crimes wanarukiwa fasta? Nao...
  8. M O N S T E R

    Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

    Amelinga ukubwa wa makosa, kuteka na kuua hata adhabu zake huwa kubwa sana tofauti na uhamiaji haramu. Uhamiaji haramu < kuteka na kuua. Kilichoshangaza ni watekaji na wauaji wanaachwa bila kuchukuliwa hatua yoyote huku people with lesser crimes ndiyo wanavaliwa njuga huku literally madhara ya...
  9. M O N S T E R

    Pre GE2025 PICHA: Vijana wa UVCCM walivyopiga magoti na mabango ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM

    Hawa vijana ndiyo kila uchwao wanatiririka na comments za uchawa humu JF na ndiyo recruits wa TISS.
  10. M O N S T E R

    Staff members wa JF waliopo online

    Say something, anything. Well I mean write/post something.
  11. M O N S T E R

    Staff members wa JF waliopo online

    Vipi ID zao nyingine zile wanazozitumia kuchambana na members kuna namna ya kuzifahamu?
  12. M O N S T E R

    Pre GE2025 VIDEO: Vijana wajipaka matope mwili mzima na kupita mbele ya Rais Samia kwenye birthday ya CCM

    Obviously ndiyo hawa Chawa wake wa humu JF, it can't be otherwise.
  13. M O N S T E R

    Pre GE2025 Tetesi: CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

    👆Kama una matatizo ya kuandika kwa Kiswahili sanifu chagua lugha nyingine. Just read what you have written.
  14. M O N S T E R

    Pre GE2025 Tetesi: CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

    Unajisumbua kutumia busara kwa chawa aliyejitoa ufahamu, you're just wasting your calories.
  15. M O N S T E R

    Pre GE2025 Tetesi: CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

    CHAWA in capital letters. Mtu namba moja useless ni huyo kijakazi, anybody with common sense can see that.
  16. M O N S T E R

    Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia

    Kwa tuliowahi kuishi nchi za kusini mwa Afrika tulikuwa tukijua toka kale kuwa kuufinya na kuufinyanga uchumi wa Zimbabwe waliumiza sana Wazimbabwe lakini lengo lilikuwa ni kuipiga mkwara SA not to do the same. Watu hawakununua ardhi bali waliipora lakini eti hairuhusiwi sehemu ya ardhi...
Back
Top Bottom