Search results

  1. P

    Pre GE2025 Bila kura za Kanda ya Ziwa, CCM inaweza kubaki madarakani?

    Acha ukabila na ukanda hautakusaidia lolote.
  2. P

    Nimepata mchumba Mchaga wa marangu nijulisheni tabia zao

    Jukumu la kuchunguza mwenza ni lako binafsi kwani we ndiyo utaishi nae. Huolewi na kabila unaolewa na mtu.
  3. P

    DOKEZO Ukiukwaji wa sheria na ukwepaji kodi shule ya sekondari Mrisho Gambo

    Chuki mbaya sana, lakini roho mbaya pia ni uchawi.. Umeandika kwa personal interest zako na hao wafanyakazi wenzako.
  4. P

    Je, Wakristu wanaruhusiwa kushiriki chakula cha Waislamu wanachoandaa baada ya kumaliza siku ya arobaini za msiba?

    Si vema kushiki ibada za maagano kwa mkristu. Ni bora ushinde na njaa utabarikiwa.
  5. P

    Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

    Ni Sawa mwanaume hawezi kaa kufikiria sijuwi graduation akaacha kuwa mambo ya msingi.
  6. P

    Kuna mume wa mtu,nataka nimzalie lakini nahisi mbegu zake zina shida ni kama maji nifanye nini?

    Ni ngumu sana kumtenganisha mwanamke na shetani. Muache mtoto wa watu kama humpendi kuliko huo uhuni unaotaka kumfanyia ni dhambi na itakugarimu vizazi vyako saba.
  7. P

    Enyi Wakiristo mnaomuabudu Yehova kamwe hamtaingia peponi, kwani pepo imeandaliwa kwa binadamu waliokufa ilihali wanamuabudu Allah peke yake!

    H Hakuna mkristu anayekwenda peponi. Peponi ni kwa wapagani wasiomuabudu Yesu. Wakristo wanakwenda mbinguni mahali patakatifu.
  8. P

    KERO Waziri wa Elimu, tunaomba msaada wako. Shule binafsi bweni hawataki tuone watoto

    Mpeleke mtoto wako shule za serikali zipo nyingi sana na zinatoa elimu bora tu.
  9. P

    Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

    Fanya kazi. Kuwa bize, tafuta pesa sana.
  10. P

    Zanzibar yavuna shilingi Trilioni 1 za kukodisha Visiwa 16 kwa Wawekezaji wa hoteli za kitalii

    Mbona hoja zako kama zinaashiria ni mtu mwenye chogo lake zuri tu? vipi kuwakandia ndugu zako au choko lako ni flat screen.
  11. P

    Zijue Hasara 30 za Matusi(Kutukana)

    Matusi ni hitimisho, matusi ni njia, matusi ni shetani.
  12. P

    Watumishi wahamishwa bila malipo licha ya agizo rasmi, sheria inasemaje?

    Kuna miungu watu huko ambao hutamani kuona watu wakitaabika tu.
  13. P

    Waamuzi wa kike kuchezesha mechi za kiume ni kuwadhalilisha hadharani

    Wanawake wakae nyumbani walee watoto.
  14. P

    Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    Haya matukio yanatokea mikoa gani mbona wanaume tumekuwa wapole sana.
  15. P

    Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    Mwanaume unalalaje hadu unapigwa picha za makalioni hujuwi. Wanaume hawalali wanapumzika tena siyo kizembe hivyo kama unajifunika kanga vile. Umetukosea wanaume wenzako heshima. Funika tako unapo lala.
  16. P

    Wakati unachagua mke wa kuoa mtazame pia mama yake

    Kwa hiyo mzee umejikita kwenye maumbo tu wewe unapochagua mke?
  17. P

    Rafiki yangu ameingia kwenye mahusiano na mwanamke wangu. Moyo wangu unauma sijui nifanye nini?

    Jacobo achana na mapenzi bado hujakomaa vizuri. Muachie huyo rafiki yako huyo binti. Wewe soma kama huwezi Rudi nyumbani ukalime.
Back
Top Bottom