Search results

  1. Jamiix

    Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

    Siku mpige suprise kwake omba gemu,angalia atakapo toa huo mtandio,utakuta na zile tshirt zote kazikusanya sehemu moja na kuzifunika,ka begi hiv,box,trunk,shangazi kaja etc,lakini sio sehemu ya wazi...,kuna mwanajeshi 1,Daaah nouma sana...Cheyo Tabora alikimbia kambi akahamia shambani kwa demu...
  2. Jamiix

    Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

    Yaani la kwanza kabisa mteme,huo ni uchawi wa kinyamwezi na huo ukanda maeneo yanoyo zunguka,Mwanangu mmoja aliteseka sana karibia ajiue,sumu ya panya ilikua chini ya siti ya gari..kuongea kama hivi kwa wadau ndo akajua tatizo lipo wapi akaanza recall matukio ndo kugundua wa kwake anaweka kwenye...
  3. Jamiix

    Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

    Pole,mambo ya ulonzi hayo...kinachofatia utakua usimamishi uume ukiwa na mwanamke mwingine tofauti na yeye...from experience...,kujinasua sasa ni kasheshe
  4. Jamiix

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Karibu tena Mwamba
  5. Jamiix

    Wazee wa International Flights sogea hapa unaweza saidia kwa wazo lako

    Sasa si utumie hiyo experience yako!?,unakuja huku kuuliza nini?,sikio la kufa halisikii dawa
  6. Jamiix

    Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

    Watoto wa ndani ya ndoa na wa nje ya ndoa wote ni sawa,aliezaa na mume wa mtu na hakuolewa hana mamlaka,ni kimada tuu aliyezaa(hata kama watoto 5),mgao wa watoto wao ndo sehemu ya ufaidikaji wa mama yao
  7. Jamiix

    Aibu ya Taifa:Watanzania milioni 60 hakuna anayeweza kuchonga sanamu

    Ukosee ufanyiwe kama yule dogo wa Picha ya No.1?,joke. Wapo wengi tuu mkuu.. Iwekwe challenge ya picha za viongozi wote wa nchi waliopita na wa sasa na mshindi apate zawadi nono uone Kuna mwamba anatengeneza watu na wanyama kwa kuunga unga vipande vya chuma ni hatari. I wish ningekua na kazi...
  8. Jamiix

    ChatGPT: Tobias Andengenye ndio DG wa TISS

    Tuanze na swali lako kwanza!, je TISS ni kifupi cha Tanzania Insitute........ kama ulivyo andika?
  9. Jamiix

    Serikali kinashindikana nini kujenga upya na njia 4 kutoka uwanja wa ndege Arusha kwenda mjini?

    Na jina nalipendekeza kabisa Utalii Sport Club
  10. Jamiix

    Mshauri huyu mdau, Jee hii Biashara anayofanya inafaida, Hasara au imebalance?

    Ina faida kwake kama utaliwaza ki undani, 1.Baada ya miaka 3 atakua ameiva mwenye biashara( atakuja elewa faida ya msingi huu aki staafu) 2.Baada ya kumaliza mkopo atakua na saving (400,000) + Faida katika biashara(380,000/kwa anachopata leo) 3.Biashara inaleta uzoefu wa maadili ya pesa(ataiva...
  11. Jamiix

    Mrejesho: Nimechukua hii LG ya mtumba 49", kuweni makini

    Nlinunua LG og 2010,42'' mpaka leo 09/2024 iko piru inapiga kazi haina hata scratch. Nnachoweza kusema ni utunzaji tuu,pamoja na umeme wa Tanesco yetu mara huooo mara tayari wamechukua ila bado iko imara,sijawahi ihamisha kwenye meza yake nlipo iweka,ikiguswa ni usafi tuu.
  12. Jamiix

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Swadakta,nime kusoma vizuri,na ni tafsiri nzuri na pana bila kujali ni dini gani. Asante sana
  13. Jamiix

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    GOOGLE Translate: Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mgawanyi wake hageuki katika mambo, wala hachagui, wala hashughulikii Jina la Mwenyezi Mungu.”
  14. Jamiix

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Nakusoma vizuri sana, Swali lingine,nna kitu nimeweza kukigundua kwa muda mrefu sasa,nikipanga jambo kwa umakini sana na lenye tija napofikia kulianza tuu either linaharibika,au haliendi kwenye mafanikio,au linakufa kabisa,ama litaenda tararibu sana kwa case ya vitu vya maendeleo(kutoka...
  15. Jamiix

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Unampaka mara 1?,ama kama dozi flani hivi kwa siku labda kabla hajalala na pakikucha,kuna kunuia wakati wa hilo zoezi?
  16. Jamiix

    Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

    Wake up broh,sasa hapo si wamekuwekea namba ya kupiga?,piga usitishe haraka huo muhamala., Huko alipo ingia kuna sehemu ya ku unsubscribe,fata maelekezo ujitoe. Piga stop mama kushika cm yako,ukiweza mpeleke English course. Pia,si kuoa tuu ili mradi,wanawake wengine IQ 0,wanaweza leta majanga...
  17. Jamiix

    Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

    Jiulize swali jepesi hapo,alitoa wapi mtaji wa kufungua maduka aliyofunga kwa sasa?, what if kama anawekeza sehemu nyingine kwa vitu visivyo hamishika?, vipi kama ana makampuni zaidi ya hiyo unayofahamu na ndo inaleta mkwanja mzuri zaidi?
  18. Jamiix

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kashanasa ki zygote tayari,mbilinge non stop lazima lingejibu tuu
Back
Top Bottom