Search results

  1. Lighton

    Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

    Kaka yanga itakuua, povu jingi mnoooo, inatosha aisee pumzika kidogo, mwezi wa Tisa sio mbali, tuombe uhai😃
  2. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Sasa hivi wamebaki wadangaji tu, hamna wanawake.
  3. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Mwanaume anayemuomba mwanamke pesa kila Mara ni mvivu
  4. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Dah ni kweli kabisa
  5. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Dah we Acha tu, yaani Kama hivi vizinga vya 50k wanawake wanaviona vya kawaida kingese mamamamaeee😬
  6. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    😃😃
  7. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Badilikeni bana
  8. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Mtu mwenye tabia ya kuomba omba pesa bila sababu ya msingi ni livivu, usimpe mnyime labda Kama anakukuna vizuri, inaweza kuwa sababu hata tukushauri vp huwezi kumnyima. Lah Kama sivyo, mnyime tu, ni haki yako kutoa ama kutokutoa
  9. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Sasa siyo kwamba tunaomba mzigo Sasa hivi tunanunua, hata Kama ni demu wako lakini staili mnayoishi unakuta ni staili ya kuuziana.
  10. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Aisee
  11. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Maana Yake, wanasema tutafutieni sisi.
  12. Lighton

    FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Utopolo kesho atafuzu robo fainali, Utopolo kesho ndo siku ambayo atasema, "Hii ngoma mpaka fainali, Utopolo akishinda kesho ataongea sana.
  13. Lighton

    Tabia ya kuombaomba pesa

    Kusaidiana Kwa binadamu ni desturi nzuri Kumsaidia mpenzi wako katika changamoto mbalimbali za kiuchumi ni jambo la kawaida na muhimu kwenye mahusiano. Yaani unamsaidia mpenzi wako kwasababu kweli anahitaji msaada, Yaani utajitolea Kwa Nguvu zako zote, kwasababu ni mpenzi wako, na kwasababu pia...
  14. Lighton

    Klabu ya simba inachofanya ni utapeli serikali iingilie kati wajinga wanaibiwa

    Lione wivu tu, kwani Kuna mtu kalazimishwa kuchangia.
  15. Lighton

    FT: Bravos do Maquis 1-1 Simba SC | CAF Confederation Cup | Estadio 11 de Novembre | 12.01.2025

    Utopolo tunawakaribisha mje muone mechi ya kiutu uzima.
  16. Lighton

    Imeshawahi kukutokea?

    Ilibaki kiduchu bwana Derick akutwe na Hatia ya kuzini
  17. Lighton

    Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU, taratibu ataokoka huyo
Back
Top Bottom