Search results

  1. IsangulaKG

    Yawezekana kuwa na ushirika na Mungu pasipo kuwa na dini?

    Kama kawaida niwapo safarini napata fursa ya kujisemeza (talking to myself) kama njia ya kuzianika fikra zangu.Natambua pia kwamba zipo topics ambazo zimejengewa kingo kifikra kwamba hazipaswi "kuguswa" na kwamba yule anayezigusa hata kama anajisemeza mwenyewe basi atakuwa "anatumiwa" na upande...
  2. IsangulaKG

    Tafakuri kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Isangula KG Imekuwa kawaida yangu nipatapo fursa kidogo najaribu kutafakari mambo kadhaa yanayogusa Nchi yetu ama dunia kwa ujumla. Japo wasomaji wanaweza kujikuta wananufaika kwa busara hizi, kimsingi lengo kuu huwa ni *kutafakari kwa njia ya kujisemea mwenyewe* ama *talking to myself* kama...
  3. IsangulaKG

    Tujikumbushe kwa takwimu: Taifa la vilaza wa mwendokasi

    (TAKWIMU ZA UFAULU KIDATO CHA NNE (2015) ZINATOA TASWIRA GANI?) Isangula KG Hebu twendwe pamoja hapa. Kulingana na taarifa kwenye Gazeti la Mwananchi zikimnukuu George Simbachawene; 1. Jumla ya Wanafunzi 393,734 (Wasichana 200,919; Wavulana 192,815 ) walifanya mtihani wa kuhitimu Kidato cha...
  4. IsangulaKG

    Tofauti kati ya baba mzazi na 'baba sperm donor'

    Kama ilivyo kawaida yangu nipatapo muda kidogo nakuja kujisemea (talking to myself) hapa kwenye ukuta wangu. Hivi karibuni nimeona video ya mchungaji mmoja akielezea umuhimu wa vijana waishio mjini kuwakumbuka 'wazazi' wao ambao wengi huishi vijijini. Wakati nakubaliana na hoja kuu kwa ujumla...
  5. IsangulaKG

    Ndoto za weusi kuwatawala wazungu Marekani kwa uwingi wao

    Katika mchezo wa mpira wa Miguu timu pinzani inapopungukiwa wachezaji uwanjani huleta ahueni kwa mashabiki wa timu ya waliyo wengi. Ipo kasumba kwamba kupungua idadi ya wachezaji uwanjani huidhoofisha timu iliyooungukiwa na kufanya iwe rahisi kuifunga.Hali hii hujenga natarajio chanya kwa...
  6. IsangulaKG

    Shairi:Maharagwe unilishe, nkijamba ni mkaidi?

    NYONGEZA 13/04/2017 Kujamba kujisafisha, nilisema mwaka Jana Ndondo nikijazilisha, jambo hutowa laana Hisi nakukasirisha, uwanja mpana sana Weza amua kupisha, ama pualo kubana Maharagwe unilishe, kijambo lazima kutowa Nache utumbo nioshe, kwa ndani pakae sawa Ondoa zako kasheshe, najamba...
  7. IsangulaKG

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Sasa na wewe si ungeweka characteristics zako ili MTU afanye "informed" decision maana watu wanazifataga Ulaya kuliko hapo Arusha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. IsangulaKG

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Sasa na wewe si ungeweka characteristics zako ili MTU afanye "informed decision"?
  9. IsangulaKG

    Chungu kifukapo moshi

    CHUNGU KIFUKAPO MOSHI, VIPIKWAVYO VYAUNGUA Ninaleta fikirishi, watunzi kulitengua Zimezidi kashikashi, si zile nilichagua Uzombi ninaoishi, kifuani naugua Chungu kifukapo Moshi, Vipikwavyo vyaungua Chungu Moshi kifukapo, vyaungulia vipikwa Leo nikipiga Kopo, kesho rumande naswekwa Yanilemea...
  10. IsangulaKG

    Shairi: Kutunga nitunge nini?

    KUTUNGA NITUNGE NINI? Niseme ya Magogoni, "Hapa Kazi" mafisadi? Njipendekeze Chamani, Tumbo langu kulinadi? Nimsifu Gazetini, "Atenda aloahidi" ? Kutunga nitunge nini, ya kutunga yakizidi... Nitunge nini kutunga, zinapozidi topiki? Nitunge Vita ya Unga, vilotanda nyingi chuki? Vyeti vya...
  11. IsangulaKG

    Shairi: Maharagwe unilishe, nikijamba ni mkaidi?

    MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI MKAIDI? Chonde Baba sinitishe, Ukimya si yangu Jadi Ili ujisahihishe, Kukosoa inabidi Kiakili nijishushe, kisa yako itikadi? MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI MKAIDI? Umenilisha Mandondo, Tumbo kujamba sharti Njoo unipige Nondo,Kujamba siachi ati Kamwe sitoenda...
  12. IsangulaKG

    Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

    Makosa makubwa mnayofanya ni KULAUMU CHAMA kwa udhaifu wa WANACHAMA. Kama Nyumba ni CHAFU hilo siyo kosa la Nyumba yenyewe bali waishio humo. Sidhani kuhama chama ni suluhu ya kukisafisha....
  13. IsangulaKG

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Swali ni kuwa Migogoro haipo? Na kama ipo hautaki kuijua kuwa ipo?
  14. IsangulaKG

    Kuhusiana na tukio la mtoa bastola kwa nape,umakini wa wapiga picha?

    Kumbuka unaongelea Bastola kitu ambacho hakijazoeleka sana kwa watanzania. Hapo hata picha zingeungua tu.Tuna wataalamu wa image enhancement, wakiamua sura halisi inapatikana.
  15. IsangulaKG

    Mwigulu hili hapana

    Kwa hali ya kisiasa ilivyo kila mtu lazima alinde Kibarua chake. Usitegemee action yoyote
  16. IsangulaKG

    Nidhamu tunayoitaka ni kila mtu/asasi/tume/bodi iwe mahala pake pa kazi

    NIDHAMU TUNAYOITAKA Mwezi July Serikali ya Australia iliwapa fursa watafiti 70 katika kituo cha Davis kilochopo eneo la baridi kali katika bara la Antarctica kupiga kura yao mapema kabla uchaguzi wa mwishoni mwa Mwaka.Mbali na kwamba baridi katika eneo hili hufikia hadi nyuzi joto hasi 40...
  17. IsangulaKG

    The Republic of the Poor (Kitabu)

    People have continued to refer to poverty as economic deprivation.While this is true, poverty of thinking, a precursor for the economic poverty, is often overlooked.The Republic of the Poor is about the impoverishment of the thought or you may say poverty of the mind.The book uncovers the power...
  18. IsangulaKG

    Suala la Chakula Muhimbili lisifanyiwe Siasa

    Nimeona andiko fulani linalosemekana ni la Yeriko Nyerere akihoji uhalali wa Zabuni ya Chakula MNH na Hoja kuwa kila Kabila lina utamaduni wake wa Chakula. Naomba kwa ufupi sana nitofautine na ndugu yangu huyu kama ifuatavyo; 1. Hoja ya kuwa kila kabila lina utamaduni wake wa Chakula Hoja hii...
  19. IsangulaKG

    Mafisadi wa vipato vyao

    MAFISADI WA VIPATO VYAO Na Kahabi wa Isangula Kila ninaposikiliza hotuba za wanasiasa zote zimejikita kutuaminisha kuwa Serikali ndiyo tiba pekee ya matatizo yetu ya maendeleo ya kiuchumi. Kwamba serikali ni tiba ya maendeleo ya uchumi wa mkubwa wa Nchi (macro) na Uchumi wa mtu binafsi ama...
  20. IsangulaKG

    FIKIRISHI: Mkenge wa mfotoa picha na kamera ya nyumbani

    FIKIRISHI ZA NGUMBALU 02: Baada ya kukupa kisa cha mkulima na sekeseke la Magugu Shambani, leo nakulete kisa kiitwacho Mkenge wa mfotoa picha na Kamera ya Nyumbani. SASA ENDELEA.... Yule kibarua wa nne aliyeajiriwa na mkulima, mbali na kuwa na sifa ya kutembelea mashamba ya jirani kuomba...
Back
Top Bottom