Pale hata jogoo tu wa kuku alipowashinda. Maana jogoo hutafuta akajipendekeza kwa jike, na jike ataamua ama abonyee ama la ili jogoo aendelee kutafuta funza mzr zaidi mpaka jike akubali. Yaani hata wanyama wamebaki na taratibu za kimaumbile zinazoimarisha mahusiano. Pole zao wana, Mungu tu...
Safari zangu zote ughaibuni (USA included) sikuwahi kamwe kukiona choo cha kuchuchumaa. Kamwe sikukiona. Mnaopenda vya kuchuchumaa ni hiyari yenu lkn aliyetutangulia technology yuko vya kukaa. Vya kuchuchumaa ni upgrade toka vya shimo kijijini. Wanaleta maneno meengiiii, urongo mtupu.
Mie mwenyewe nimemtimua Jumamosi, wiki nzima anafunga nyumba anaishia Makambi kurudi giza, hakuna kuaga wala kushuka ni kama vile amepanga kwa Mwarabu. Jumamosi karudi kiburi kama pepo nikamtimulia mbali. Hata mimi nimeajiriwa na ninaheshimu mamlaka zilizo juu yangu duniani.
Kwa hivyo mnawafundisha kuitii Mamlaka ya Bwana pekee ya Duniani haitakiwi kuheshimiwa? kama ni hivyo sasa naelewa uharibifu wa tabia yao unatokea huko.
Muwafundishe wadada wa kazi kuomba ruhusa, kuaga kwenda kwenye hayo Makambi. Yaani dada kaamka J3 anajiandaa kwenda Makambi bila kutoa taarifa. Muwafundishe kuwaheshimu wakuu wao wa kazi. Wiki nzima anafunga nyumba anasepa kurudi saa 1 kasoro jioni, Makambi. Hakuna kuomba ruhusa, hakuna...
Nina wiki 3 channels zote zimepotea baada ya kununua kifurushi, inaonekana TBC1 na Guide tu. Nimeshawapigia simu sana na kuwasiliana nanyi lakn hakuna suluhisho.
Msaada tafasali. 02035760135
Genta chukua ka video, hata ka sauti tu. Kama huwezi ajiri kijana akufanyie kazi ya ku-shilawadu ukishapata ushahidi huna haja ya kuongea unamwonyesha muhusika. Watoto wanapata shida sana na baadhi ya wamama wa kambo.
Ukoo umeenda mbali, wengine tukikusimulia ya ndani ya familia ya ndugu wa tumbo moja, wazazi kupendelea waovu na kuungana nao kuhujumu wengine wanaoonekana "wanajidai wako vizuri" hutakaa uamini. Tenda wema uende zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.