Siku nyingine wataingiza nchini wapiganaji wakujitoa mhanga na silaha mabomu na mazagazaga mengine,wanaweza hata kuiangamiza nchi ikiwa mtindo huu utaendelea,haiingii akilini sehemu kama KIA kwenye maafisa usalama lukuki tukio kama hili limetokea,inawezekana hata wao walishiriki katika uchafu huu.
Huyu mtoto hafai mara kada wa Lowasa mara tena CCJ mara CCM,haya ya CCJ kayajuaje kama nae si mmojawapo,aelezwe ajifunze siasa ni mpangilio wa maneno siyo kuropoka:A S-confused1: .leo Mary Chatanda mdomoni kwako kesho Lowasa keshokutwa Bro 6 mara Nape sasa we wakubwa zako ni kina nani,hii...
Mbona ndiyo kozi bomba kuliko hiyo ya Puplic Adm,hawa ndiyo watakuwa watanzania wa kwanza kuwa na degree ya Office management,kazi walawala,tena ngoja nimueleze mdogo wangu ana diploma ya Off Man`gnt mwakani aombe awe na degree ingawa hivi sasa ana kazi bomba ile mbaya mshahara unaridhisha tena...
Hayo ni madogo njaa yetu ndiyo inayotusababishia yote haya,kuna shehena ya meno ya Tembo Ubelgiji nayo ilitoka TZ wakubwa wameshindwa kuifuata we acha tu.
Kamwe hiyo barabara haitajengwa kupita ndani ya Serengeti nasema tena kamwe,hatuwezi kuharibu vivutio vichache vilivyobaki duniani kwa kuwafurahisha wanadamu wachache,hizi rasilimali siyo za watanzania pekee ni za wanadamu wote duniani sisi tumekasimiwa tu kuzilinda na hawatapenda kuona...
Ikiwa tunazitaka hizo hela sasa je ni juhudi gani tuliyoonesha kama watanzania halisi kugundua kuwa kulikuwa na harufu ya rushwa katika manunuzi ya rada,na ni hatua gani tulizofanya kutaka turejeshewe fedha hizo kabla ya waingereza kuingilia kati,ni hatua gani tulizowachukulia wahusika wa rada...
Haya ni maendeleo yana gharama zake nazo ni kama miundombinu mibovu kwa jiji linalokua kama Dar,WAKENYA WANADAI NAIROBI NDIYO JIJI KUBWA EAST AFRICA HATA KATIKA MTANDAO WANAJITAMBULISHA HIVYO NISAIDIENI KWA WALE WALIOFIKA NAIROBI HAYA MANENO NI YA KWELI?.
MBONA MIMI NILIFIKA NA KUKAA MWEZI...
hawa ndiyo waliomuweka jk mjengoni,mbinu zote za kimafia wanazijua,`system`yote wanaijua nao wako ndani,kosa kubwa sana walilofanya ccm,siwatetei mafisadi ila chama ndiyo kilichowajenga hivyo tusubiri tuone moto ukiwaka na cheche zake ni mbaya kupita kiasi.usimwone kobe kainama kakaa kimya...
Huu ni kama mchezo wa kuigiza,hawa mapacha watatu ndiyo waliobeba siri zote za chama ufisadi wote waliofanya ni kwa ajili ya chama kupata fedha za kuendesha uchaguzi kuimarisha chama n.k,hawa wakiondoka tu na CCM ndiyo mwisho wake tena utakuwa mbaya sana,kwani wana watu wengi sana walio nyuma...
Huyu Simba dume inaelekea ametengwa katika kundi au mzee au njaa kali, katika natural state simba dume si mwindaji kawaida huwa ana ambush au anawinda wanyama wadogo kama ngiri,nguruwe n.k au weak spp kama binadamu,mifugo hivyo hii picha ni nzuri sana hayo diyo maajabu ya Ngorongoro.
Loooooooooo!!!!!!!! Muungano ndiyo kushnehi,huyu si ndiye aliyerudisha bendera ya zanzibar,katiba ya zanzibar,zanzibar kuwa nchi kuondoa suala la mafuta kwenye muungano na mengi mengine kuwa please wazanzibari wenzake! na hakika hata Ikulu itahamia zanzibar.
Ngoshwe hongera kwa taarifa nzuri naomba usichoke kuleta taarifa kama hizi,kwani kuna mmea mmoja unaopatikana katika milima ya Uluguru pekee jina nimesahau ulichukuliwa na wakoloni na kuu propagate huko Ulaya hivi sasa wanafanya biashara kubwa sana ya mamilioni ya dola kwa kuutumia huo mmea kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.