Search results

  1. A

    Fahamu matokeo ya meditation

    Namyohorengekyo. Jisomee Lotus Sutra pia ili kujijenga kwenye tajahudi. Faida ni nyingi sana za meditation kuliko tudhaniavyo.
  2. A

    Honest Advice: Its tough out there bro, dont do it, just dont..!

    Umepita muda mrefu sana macho yangu kushuhudia uzi kama huu.Nitausoma tena kuelewa zaidi
  3. A

    Huyu Pascal Mayalla huwa mnamuelewa?

    Inabidi kusoma katikati ya mistari. Mara nyingi uwasilishaji wake inahitaji ufunuo wa jicho la tatu.
  4. A

    Naombeni kitabu kitakachobadilisha mindset yangu

    Hongera sana kwa kupata huu mwamko. Inaitwa Awakening , kuna msemo unasema ni pale tu mwanafunzi anapokua tayari ndipo mkufunzi hutokea. Amini sio tu kwa kupendekezewa vitabu, bali wewe mwenyewe utaanza kukutana na maandiko yatakayokusaidia. Kwa mimi nina vingi vya kukupendekezea lakini kwa...
  5. A

    Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Mshukuru Mungu kwa kukupitisha katika kipindi hiki. Kumbuka kuwa kila kitu ni temporary na sio permanent. Ila utajifunza mambo kadhaa ambayo yatakusaidia sana mbeleni. 1. Utawajua marafiki wa kweli 2. Utamfahamu mwenza wako vizuri katika kipindi hiki 3. Utajifunza discipline ya matumizi ya Fedha...
  6. A

    Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    Pongezi mtu na apewe akifanya jambo jema. Wizara kwa sasa imepata mtu makini anayewafikia wananchi na kutatua kero zao.
  7. A

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    Inategemea unaingalia toka upande gani, kwa sisi Wazee wa nguvu za Universe tunatambua kwamba hii ni syncronicity, Universe inakuletea ujumbe na vitu vyako vinaelekea kua aligned. Kwa wale wa saikolojia watakuambia kwamba hii ni priming na framing. Ubongo unakua umezoea patterns fulani na...
  8. A

    Ili Kujustify Ngono Zembe, Jamii imejitengezea Myth Mpya, Njia Nyepesi ili Kujikinga na Maambukizi dhidi ya Ukimwi

    Elimu kuhusiana na jambo hili sioni ikitolewa kwa nguvu kama enzi zetu tukikua. Nakubaliana na ukweli kwamba matumizi ya ARV yamesababisha kupungua kwa janga hili, lakini vijana wanaokua hawana elimu ya kutosha. Matumizi ya vilainishi kureplace matumizi ya kondomu ni jambo la kuangaliwa kama...
  9. A

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Shukrani Mkuu Andrew. Ningetamani kujua Majanga kwa mfano say mradi mpya kama Stiegler au SGR responsibility ya distaster management bado iko chini ya Jeshi hili?
  10. A

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Ushauri mzuri hii. Kwa upande wangu ningependekeza liongezewe nguvu na lisiwe la zimamoto tu, bali liwe la Kukabiliana na Majanga aina yote.
  11. A

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Ntashukuru ukiweka link ya Video tupate kujifunza au la picha itasaidia.
  12. A

    SI KWELI Uvutaji sigara husaidia kuondokana na msongo wa mawazo

    Ningeomba basi andiko hili pia kuongelea ni namna gani ya kupunguza stress na kuondoa kukosa usingizi ili kumsaidia mletaji bandiko na wasomaji wengine.
  13. A

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Mkuu umeshapanda treni inayokwenda kwa constant speed? Hata ikiwa speed mia ikiwa constant unaeza cheza hadi disko.
  14. A

    Maisha Poland 🇵🇱 yakoje ( walio wai kuishi au kufanya kazi ) ?

    Heshima kubwa sana kwa brother Sambali. Katupokea
  15. A

    Maisha Poland 🇵🇱 yakoje ( walio wai kuishi au kufanya kazi ) ?

    Mji gani Mkuu Warszawa ama? Wapo hapa wakazi wa pale ambao ni members hapa JF siku nyingi
  16. A

    Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

    Nilikua nasubiri comment yako Mkuu. Inaonekana ni maigizo zaidi kwenye hii video.
  17. A

    Tujikumbushe Movie Kali Pendwa miaka hiyo ya 1980s-1990s na vibanda umiza kiingilio sh.10.

    Majuzi nimerudia kuangalia HEAT (1995) ni moja ya filamu yangu pendwa ya 90's. Al Pacino na De Niro walitendea haki hii kazi.
  18. A

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    Nadhani vijana wakipitia huu uzi watabaini ya kwamba JF tuko na wakongwe maana habari za miaka ya themanini na sabini zinaelezwa kama ni juzi tu hapa
Back
Top Bottom