Ukraine ni Taifa dogo .
Lilikuwa chini ya Soviet Union.
Mataifa yote yakapata uhuru.
Soviet iliwekeza saana Ukraine, Sasa wanataka kujiunga na Uropa, kosa liko Wapi??
Wanaonewa sababu ni wadogo??
Moscow kavamia ameshidwa!!
Wasamaria wanatoa msaada kuwatoa utumwa wa Kikomnist, kosa liko Wapi...
Alijitahidi kuvunja unjam kaskazini, wanasiasa, matajiri, uchumi, bureude change na banks, viwanda na mashamba ya maua, mbogamboga ,na kuuwa soko na Kenya!!
Bado hali haijakaa sawa tuomve Mungu tuu wapendwa!!
Spika Ndugai naye akamatwe aunganishwe, alishabikia mateso T Lisu na Mbowe Hadi kumvua ubunge na ubunge .
Kusheherekea kupigwa kwa Mbowe.
Bila Shaka alijua wahusika.
Akamatwe asaidie Polisi kupeleleza hayo matukio!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.