Astaghafulahiii..
ukute mwamba alimsomesha or kumpa mtaji wa bnez,alafu kabaki na kumbukumbu ya kumuua na maisha yake naye yanaishia hapo anaenda na yeye kuliwa jela...
mpira wa kwenye whatsapp na midomoni mwa wachambuzi hewa, ka ushindi kamoja wanarudia kuaminisha upuuzi wakiingia kwa ground wakifungwa wanaanza tukana kuanzia kocha mpaka familia zake
Labsa wanaotete baraza lao waje watujibi tuelewe kwanza Casino zinaleta usumbufu gani kwa hao wastaafu na familia zao..
Je hao wastaafu na Familia zao wameomba wasaidiwe kusemewa au ndio kujipendekeza kwa mwendo kasi?
alikwambia baba mtoto kafa alijupeleka kaburini ukajiridhisha jina la kaburini na la cheti cha mtoto ni sawa?!? if not umeliwa..
suala la pili shukuru umeachwa salama bila magonjwaa maana huyo angekuja kukuua nayo siku jwa jinsu anaonekana mtaalam wa draft..
move on mwana, wanawake wako...
Kwa hiyo wafikiri hizo nchi zingine za SADC hamna ma ponzi scheme kama hayo yamekula pesa za watu?
Ushawahi ishi in any of those countries bwasheee?!?
haya mambo yako worldwide for your information
shida wakiambiwa ukweli kwa ujuaji wao huwa wabishiii wakati they know nothing, kuna mtu alileta hesabu hapa zilionyesha return on investment ni 220%..si hata shetani angekuja duniani kufanya hiyo business aache kuchomwa na moto
kitu kimoja nimekua nikijiuliza sana hawa walimu wazuri sana wa twisheni za masomo mbali mbali ya sekondari enzi hizo, mbona wengi waliwahi kuondoka na waliondoka wakiwa vijana wadogo?!?
Inawezekana yaliyokua yakisemwa ni kweli kuwa walikua wakipika na kupakua mapishi yao!?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.