Search results

  1. Hassan Mambosasa

    Kitabu kipya: Jino kwa jino

    Fikiria wewe ni mfanyabiashara mkubwa sana mjini, unamiliki kampuni iliyopata heshima kubwa. Baba yako ni mkuu wa majeshi mstaafu, kaka yako ni kanali wa jeshi, shemeji yako ni mbunge na mtoto wa Rais wa nchi. Mjini kote wanatambua nguvu kubwa ya ushawishi waliyonayo familia yako. Unapewa...
  2. Hassan Mambosasa

    SoC04 Tanzania tuitakayo

    Mods naomba ubadilishe kichwa cha uzi kiwe TANZANIA TUITAKAYO simu yako imepost kimakosa sijamaliza kukiandika
  3. Hassan Mambosasa

    SoC04 Tanzania tuitakayo

    TANZANIA TUITAKAYO Asubuhi na mapema unaamka ndani ya nyumba yako ya wastani, kutokana na kipato chako kutokuwa toshelevu. Homa nayo inakushika, unasita kwenda mihangaikoni siku hiyo. Suluhu pekee ni kuelekea hospitali, uende walau ukachunguzwe na kujulikana ni kipi kinachousibu mwili wako...
  4. Hassan Mambosasa

    Waislamu wa Tanzania hawaijui Dini yao?

    Ushaoma mtu anayezimia nyayo zinabadilika kuwa njano? Ukiona hadi kazikwa jua imethibitika hana uhai
  5. Hassan Mambosasa

    Waislamu wa Tanzania hawaijui Dini yao?

    Maneno hayo aliyasema Mtume (S.A.W), tena alitaja mambo matatu hayatakiwi kucheleweshwa yakifika muda wake. Nayo ni swala, kuzika maiti na ndoa. Iran wameamua wenyewe kwa utashi wao kuchelewesha na si kaamba Uislamu ndiyo unafanya hibyo. Hayo ni maamuzi yao binafsi dini isihusishwe, ukawaulize...
  6. Hassan Mambosasa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    https://twitter.com/IamMambosasa/status/1779179266489393645?t=qKgIR_jVcCBD4v2HLxaUYw&s=19
  7. Hassan Mambosasa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara ndani ya chombezo https://twitter.com/IamMambosasa/status/1779179266489393645?t=qKgIR_jVcCBD4v2HLxaUYw&s=19
  8. Hassan Mambosasa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara ndani ya chombezo https://twitter.com/IamMambosasa/status/1779179266489393645?t=qKgIR_jVcCBD4v2HLxaUYw&s=19
  9. Hassan Mambosasa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara ndani ya chombezo https://twitter.com/IamMambosasa/status/1779179266489393645?t=qKgIR_jVcCBD4v2HLxaUYw&s=19
  10. Hassan Mambosasa

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    Shomari ni jina tu nahisi ndiyo la kiislamu toka mdogo ni mkrosto yule na kalelewa na kanisa kabisa
  11. Hassan Mambosasa

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    Hadi ndoa kafunga ya kiislamu
  12. Hassan Mambosasa

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    Ontario namwona wa mwisho kwenye list
  13. Hassan Mambosasa

    All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

    Tuna msiba wa Mwinyi na tukishazika tutahuzunika hadi Desemba. Sidhani kama tutakuwa tayari
  14. Hassan Mambosasa

    John Wick 4 & no time die movie nazisibiri kwa hamu

    Halafu nashangaa watu wanaisifu sana
  15. Hassan Mambosasa

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Kwahiyo Amrabat kala njano ikawa ya pili ni nyekundu, wakaona VAR ingemwokoa, matokeo kala nyekundu ya moja kwa moja bila njano
Back
Top Bottom