Sijasema hivyo au kupinga Ila nimeuliza tu Mfano gari ikiwa katika Hali nzuri basi huwezi nunu kisa plate ni D ??
MSINGI wa swali number Moja ni je tunanunua plate number au gari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]lakini kama hatujakualika na shida zetu hazikuumizi wewe umeingilia wapi na kuanza kuumia sasa. I think you should not allow your rotten mouth to speak bro umesema sina akili asa kama unazo Una maintain vipi kujibizana nami
Umejuaje kama nimetumia akili za kichwani kufikiri na siyo akili ya magotini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wake up from your box bros, don't come here and spit these nonsense instead
Inawezekana kwa sababu Wapemba wengi ni Watoto wa kikeni si kiumeni ndiyo maana wengi hawana ubin wa kiasili wengi Wana ubin wa Kihindi, Kiyemeni, Kibangaladeshi, Kiarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni Watoto wa dada zetu wa kounguja waliozaa na wageni lakini waunguja...
Hapa ndipo napata shida Sana kuelewa hii slogani ya Wazenji kujisifu Kimaarifa then kutwa Kucha wakilia kuwa Yule aso na maarifa Mtanganyika amewakalia
Can you please be open inahere!
Watu wa visiwani kinachowakwamisha ni kaunafiki Tu, na huu Mungano si kweli kwamba hamuupendi mwasema msichokiishi na kuishi msichosema.
Hiyo Ngoma na mduara wenu wa hatuutaki Muungano ukipigwa sasa wala hakuna wa kuwabishia Ila mmefyata kwa sababu mnazozijua
Yep lakini sasa mwasubiri nini kujitoa wakati mna njia nyepesi???
Sina hakika kama mwalazimishwa au mnashindwa kwa sababu mna maslahi ambayo huwa mnajifanya hamuyaoni.
Samia Mzenji, Mwinyi Mzenji si ndiyo ilikuwa so simple tena na zile nyimbo zenu za tunataka Nchi yetu zingeshamiri uzuri...
Ni sheria za kibaguzi wa kidini, ubaguzi wa rangi na ubaguzi wa kiasili wala hatuna namna ya kutouita ubaguzi Ukiwa Islmaia hakuna sheria hiyo Bana [emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.