Search results

  1. kg4sure

    Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

    Lingine sema hv nataka mwanamme mwenye ela kwan kaz kila mwanamme anayo
  2. kg4sure

    Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

    Vigezo vyote unavyotaja vinafaa uwe n Mme wa mtu
  3. kg4sure

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Wanawake ndyo wakwanza kunyanyapaliwa nchi hii lakin hawajitambui hatq kdgo wakipewa vinguo tayar kwishaa
  4. kg4sure

    Kwaheri Lowassa, kwaheri CHADEMA...

    We linamo kwel umezoea kudanganywa kama maisha bora kwa kila mtz nk. Ccm ina sera miaka 50 na bado inadanganya danganya tuu
  5. kg4sure

    Kwaheri Lowassa, kwaheri CHADEMA...

    Muda haukutosha show ilitakiwa iishe 6pm
  6. kg4sure

    Kwaheri Lowassa, kwaheri CHADEMA...

    Ulitaka aongee had saa mbil usiku au...we namna gan
  7. kg4sure

    Kikwete: Rudisha mali za umma walizojilimbikizia Lowassa na Sumaye

    Hata ww unaweza nunua mapor yapo mengi tuu
  8. kg4sure

    DSTV vs Zuku

    etv ya south inaonesha mieleka,inapatikana ving'amuz karib vyote
  9. kg4sure

    Nimemkumbuka Anko Sam wa Radio Free Africa

    Efm sikiliza kwenye android tuninn radio andika efm music talks
  10. kg4sure

    Napoteza Rafiki yangu jamani nisaidie

    Rafiki mkia fisi,,,wema n ajali,,,tenda wema uende zako
  11. kg4sure

    Natamani kujiua

    Alikose kutokukujuza mapema, kwa sasa kaza moyo konde achana nae kwani hata ukiwa mke wa pili utajuta kuzaliwa. Hupaswi kulaumiwa kwa kuwa hukujuwa before kama ameoa.
  12. kg4sure

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    Babu hatibu kifu tuelewane...na waliofariki wakati wao umefika..'kul nafsin dhaikatul maut'.
  13. kg4sure

    Siri Imefichuka! Babu wa Loliondo ametumwa na Shetani

    Inaonekana umetumwa na kundi la wa2 wenye shaka na kupungukiwa wauwini
  14. kg4sure

    Jamani mashoga watamu..!!?

    Duh kali ya mwaka
Back
Top Bottom