ungeniambia zao la ming'oko kidogo ningejua labda aliyekutuma angalau aliyemtuma kukutumia wewe labda amepata usingizi angalua wa lisaa limoja tangu hili jina la mbobezi Membe kutajwa lakini kwakuwa umekuja bila kuchanganya na za kwako karibu upokee vidonge kama ma lumpen wenzako hili upate usingizi
Wakuu,
MEMBE kasema yakwake kwa vigezo vyake nasie ambao tunaushaidi mbadala wakufhibitika tujenao swala la kujaza maserver kisa atushuguliza za kufanya zimepitwa na wakati
Leo tunaomba tukuandikie barua Baba yetu Jakaya Mrisho Kikwete.......Kwanza kabisa pole sana na ugua pole.......Baba yetu Kikwete, tunaomba tukupe taarifa/ripoti katika kipindi hiki unapoendelea na matibabu
Baba While you are away, serikali yako inaelekea kuanguka
Baba while you are away...
Hili la ubinadamu vema kabisa,Tanzania sio kisiwa na ndio diplomasia ya juu, maanake ukienda kwa wenzetu wa misri ,huu mto utazania kuna almasi ndani au ndio uzima unapatikana hapo,hapa Mhe Membe naona kajitofautisha sana na na wanasiasa wenzake ndani na nje ya nchi,maanake wengine kwakutaka...
Kuna watu bado hawajapata mgao wa weekend,sasa bila kuweka password MEMBE, Uwezi draw kwa ATM sintashangaa mstari ukiendelea kuongezeka,wenzenu wanaongozwa na uoga na kukoseshwa usingizi na huyu MEMBE,hila tupeane michongo yakupost kwa malipo,natanguliza shukrani zangu za dhati
Ndugu,
Umenena vilivyo,
ninaombi moja tu kwa mods yani post kama hizi hususan hii ni yakipumbavu inastaili mtu apewe kifungo kwa maslai ya taifa maanake hawa ndio wanaleta hisia za hasira mtu ukatamka la moyoni ukapigwa ban bure,asante
Sijaona tatizo na nia hiyo,wafanyakazi wengi wageni kwa sasa ni economic migrants na sio experts kama unavyojaribu kuhadharisha.angalia angola na mozambique .lazima tu centralise na hizo kazi zitangzwe nchini kwanza.huwezi niambia security manager,facilities manager na hr manager wa kampuni...
huku mnabika jungu, wakati huyu mzee membe anaendelea kuliletea taifa heshima
ebu bofya hapo chini ujionee mwenyewe
Statement by Commonwealth Ministerial Action Group | The Commonwealth
hatari kweli kweli
Mie nachojuwa ukienda spain first 11 ya kandanda ya sasa inafahamika na wao wanajifamu fika yani kina cesc,inesta kadha wa kadha na uhakika hao wabaya 11 Mhe Membe wanajifahamu fika pia , hapa kinachofanywa na gazeti la MTANZANIA sio pre-emptive action bali ni premature ejaculation
Kwanini wasirekebishe muswada wa kiinua mgogo cha wabunge ambao kila miaka mitano wanapewa, yani mbunge achukue kiinua mgongo anapo malizana kabisa na siasa na endapo atarudi tena anatakiwa akirudishe hicho kiinua mgongo na atakapo maliza tena anapewa nusu yake kama mtu anaye resit mithiani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.