Mungu wangu! yaani wanaume wa aina hii wapo wengi sana, hivi leo kuna rafiki yangu ametoka kunisimulia kisa kinachofanana na hiki. Cha kufanya sio kuendelea kumuonea huruma huyo amfukuze bila huruma, ila hao watoto aendelee kuwasaidia Mungu atamlipa. Lakini inauma sana!
Mie namlaumu huyo mwanamke, kama kweli ni mwaminifu kiasi hicho mpaka kumtaja aliempa hizo kanga, basi hakuwa na haja ya kuzipokea. Nadhani alikuwa na mpango wa kumuua mumewe na huyo jamaa yake.
Inauma sana, kweli vizuri havidumu, REHEMA hakuwa na majivuno kabisa kama ilivyo kwa wasichana wengine walio maarufu, alisalimia kila mtu mtaani hata watoto, yeye kwake ni tabasamu tu muda wote!! aliwapenda watoto sana!! basi tena bwana ametwaa jina lake libalikiwe.
Nasi tujiandae kwa safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.