Ahsante kwa tafakuri yako umejitahidi kwani ndio upeo wako !.uANAelewa maana ya purchasing serikalini +mchakato wote !Hii si vita ya biashara ni tafakuri ndogo ya kutusaidia kuuchambua umaskini wetu hebu tafakari hizo ash.zingeenda kunuua mashuka ya hospitali !
Naam wasiriki 1000,kumbuka ni miak miwili,wanaweza wakawa walirudia mika 2 lakini walipata jozi 6 za excutive suit toka UK KUpitia Mriedo!inaweza isiwe excttly hao lakini huu ni ukweli na kama ni mdau /mtembeleaji wa maonesho hayo utakumbuka kwenye banda la afya kuna nini./!kumbuka haya ni sare...
Blandina Nyoni ,KATIBU MKUU wizara ya afya ,ambaye pia aliwahi kuwa mhasibu mkuu wa serikali ,na kuwa katibu mkuu wizara ya mali asili ni mojawapo ya wanawake maarufu nchini,
Pengine labda kutokana na nyadhifa alizoshika mf Mhasibu Mkuu wa SErikali na kM wa wizara kubwa mbili.Lakini haiba yake...
Katika kuangalia jinsi CCM inavyoua elimu kwa watoto wa wapiga kura wake nimekutana na shule inaitwa Jakaya Kikwate ...sijui iko wapi! Kuna matokeo ya form 4 hapa ambapo kati ya watoto 124 waliofanya mtihani % 61 wamepata sifuri .! na wengine walio baki wameambulia DV 4 ZA KUFA...
Hivi ni kwa nini watu wanang'anag'ania kulipa matapeli wa DOWANS WASICHANGISHANE WAO NA WAKE ZAO WALIPE !HEBU FIKIRIA MTU KAMA CHENGE ANA 2 BILIONI HUKO UGHAIBUNI ...NA HIZO NI VIJISENTI TU HATUJUI FEDHA KWAWEKA WAPI !HIVI KWELI WAKIJITOKEZA MAPAPA NA MANYANGUMI 30 NA WAKE ZAO WATASHINDWA KUWA...
Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu wetu ila muikumbuke Tanzania !
Kuna kila dalili za kutimia kwa kauli ya DK SLAA kuwa bajeti ya mwaka huu ilikuwa ni kiini macho ,na kuwa haitafika mbali!baada ya serikali kuanza kuziagiza wizara kukata kiwango fedha ili ziende hazina .haijulikani kama punguzo hilo linahusiana na malipo fulani au vipi ,lakini wazalendo...
Nini Wchaga !ambao ni ndugu zetu !kuna Wnyarwanda ni ni wakuu wa IDARA ndani ya serkali yetu ,hata likizo wanaenda Kigali ....hii ndio Bongo land waacheni wachaga wanastahili kwani walitangulia!
Jana kumemalizika mashindano ya soka kwa nchi za bonde la mto nileambapo timu ilshindwa vibaya lakini ikaambuliwa donge nono 1la sh.75,000,000.
Mashindano hayo yamemalizika kwa amni lakini swali la kujiuliza je mashindano haya hayana implication yoyote kiuchumi na kisiasa kwa kuzingatia mvutano...
Katika kipindi cha miaka mitano ,tumeshuhudia nchi iksambaratika kwa kukosa dira na uongozi kwa hali ya juu.Mifano ni mingi na itaendelea kuja .Tumeona serikali ikikosa kabsa utashi wa kuwatumikia watu WATU WAMEKATA TAMAA ,UFISADI NA MMOMONYOKO WA MAADILI UMNASHIKA KASI;KAMA HATUA...
kwa mara ya kwanza leo naona somo la unafiki wa akina sitta linaelekea kukubalika humu ndani mifano yako ni bomba ,wala hakuna lugha mbaya ,kuna siku niliandika kwa nn tunawashangilia sana sitta na mwakyembe ilhali ni waoga nilikepewa majina ya kejeli ila kuna siku ukweli uatajulikana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.