haya makubwa kabisa, kweli hii nchi sio moja kabisa, yaani kipande kimeniacha na maswali kibao said that the government arrived at the stand when reviewing decision on exportation of food items to East African Community member countries including the Mainland.
sasa in maana wao wakipata shida...
ok, if the defnition of job is that activity that gives someone his bread for the day!! it doesnt matter if it casual labour or proffesional work, doesn't matter if those labourers in the road and construction sectors keep on being recriuited now and again, and what about distribution of...
mh hii dunia kweli tambara la fujo, na mie sik zote husema iwapo mtu anapoteza akili zake kwa sababu ya mikono ya mwanadamu, asi mtu huyo anayeharibu za mwenziwe anastahili laana iliyo kuu, maana ni jambo baya sana kumfanya mwenzio azurure hovyo, aende uchi na apoteze heshim na utu wake mbele ya...
lakini isije kuwa ni vita vilevile ndani ya wanachadema vilivyosababisha jimbo kuchukuliwa na CCM 2010, maana walikuwapo Heche, Mwita Mwikabe Waitara na kwa mbali kambi ya Mwera, sasa isijekuwa huyo jamaa hamtaki heche anawalinda hao wengine, na kama mnakumbuka iliwahi kuwepo thread hapa kuhusu...
sisi ndio simba, subiri ligi ianze, hawa jamaa wanatumia pesa kutuharibu kisaikolojia lakini naamini hawataweza, ya mafisango viongozi wanajua kwanini hawajapeleka hadi sasa
ni kweli aisee, mi nimemfuatilia aka mingi iwe kwenye bngwa, mtanzania, dimba kote huko mpakakweny hii blog yake, jamaa kanywa maji ya bendera kwelikweli, halafu nshaaa dogo Anselm anamtetea
namuonea huruma Dk. Mohammed Seif Khatib maana huyu baadhi ya wazanzibari humtukana kuwa ni m-bara na hivyo hasimamii matakwa ya wazanzibari, na siku si nyingi twaweza sikia vikaratasi vimesambazwa soko la darajani wakimtukana
lakini ijapokuwa muungano wa serikali mbili ni itikadi y aCCM, si...
jadili ya kwenu Azam ambapo kumbe hali ya uchumi ndio imesababisha john stewart hall kuondoka, maana mmepunguza mishahara ya wachezaji na pia wengine mumewatoa kupunguza gharama, hayo ndiyo maneno ya stewart hall akihojiwa na clouds siku ya kuvunja mkataba, akadai klabu itasajili wachezaji...
jmushi i used to respect you but hapa ulipofika aidha wawatumikia watu flani au una ya kwako mwenyewe kwenye hii thread, kwa haliya kisiasa ingefaa sana, tusuiri ripoti ya uchunguzi ndio tuwe na hayo ya kumfukuza ama la, otherwise huku ni kupika mjungu, kuwagawa wanachadema na pia kuendeleza...
wazenji ni wabinafsi sana hawa watu, yaani wao wanajifikiria kivyao tu, yawezekana walizisajili hizo meli huku wakijua likitokea lolote itakayeulizwa na kutiwa msukosuko ni serikali ya JMT na wala sio SMZ
pili hawa watu ni wanafiki sana, maana walipozisajili kwa nini hawakupandisha bendera yao...
Nimesoma kwenye blog ya Mahmoud Zubeiry mmoja wa waandishi wa habari wanazi wakubwa wa yanga kwamba beki Mbuyu Twite aliesajiliwa na Simba toka APR amesajiliwa na Yanga, wamembadilisha uraia wake kutoka unywarwanda aliopewa kurudi Ucongo wake wa zamani, pa wanadai kasajiliwa toka FC Lupopo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.