yeah jamaa alikuwa anafrequent sana mawenzi girls nakumbuka one time tulikuwa stuck mida ya jioni sana mawenzi jamaa alikwenda out of his way na kuturudisha shule arusha na gari lake naweza kusema alikuwa na roho nzuri kwa upande mmoja upande mwingine yule bwana alikuwa na sifa ya uhalifu wa...
kuna mtu alishawahi kuniambia miaka miwili iliyopita waliwakuta wachina wamefunga mitambo mizito kwenye shamba lao wakitafuta madini sikumuamini, hawa wachina wanatudharau sana
Sumbawanga - MPANDA District Magistrate's Court in Katavi region has sentenced director of a mining company, a Chinese national, Bloan Chaoxan Zhou (42) to four years in jail for illegally mining at a prohibitive area of Lwafi Game Reserve in the district.
However, the Chinese national,who runs...
I dont understand what you are trying say, are you saying Italy and Netherlands have similar relatioship to US multinationals to ours, can Barrick pay 3percent royalties in Israel? Look at Oil contracts in Iraq you will understand what people are talking about
key word experiment, mda umepita Nyerere na wengine wameshazifanya sana,huu ni wakati wa wananchi kuamua wanataka nini siyo kuzidi kukuza size ya serikali, bunge la afrika mashariki? my gosh
nafikiri huu ni mjadala mzuri lakini naona kuna mambo mengine ya msingi ya kuangalia kabla hatujaenda kwenye kuamua tuwe na mfumo gani wa serikali.Kila mfumo una faida na hasara zake lakini naamini kuna mambo ya msingi lazima yawepo kwenye mfumo wowote tutakaochagua.Kitu cha kwanza madaraka na...
If what you are saying is correct then we have a problem, I dont think she has to get permission from anybody to talk to foreign leaders or entity,she is part of government.
watanzania tuna matatizo mengi sana na mfumo wetu wa kufanya biashara siyo mzuri hillo halina ubishi. Wenzetu wa Kenya wanapenda kufanya mambo yao kwa staili ya kimagharibi zaidi kitu ambacho watanzania wengi hakijaingia sana, kuwa na malls kubwa siyo dalili ya maendeleo , watanzania tutafaidika...
heshima mbele Mchambuzi, umeleta hoja nzuri jamvini ila umenistua sana. Kama nimekuelewa vizuri kuondolewa kwa posho kunaweza kupelekea kushuka kwa ufanisi wa watumishi wa serekali, really? nimestuka kwa sababu I never imagined the situation i mean ufanisi could actually get worse.Hakuna...
ana mawazo mazuri sana nakubaliana nae kwenye hilo jambo tatizo mtu anayetoa hiyo kauli ni criminal vile vile its like he is taking a plea deal he will testify against his fellow criminals jamii itamhukumu muda ukifika mwacheni aongee tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.