Gari inauzwa Toyota Premio
Engine kubwa
Ina upungufu wa Real Lights, side mirrors, powerwindows baada ya wez kufanya yao.
Gari iko Dar Es Salaam
For serious buyers:
Check with 0782676842.
Mkuu kwamba gari mpya halipati ajali?Laptop ilokuwa kwenye bag ikapata mgandamizo ndo ikapata crack coz kuna mtu mwingine aliwema mzigo wake juu ya begi la PC
Dudu Baya yuko Geita kuna wadogo zake wako huko mmoja anafanya kazi mgodini so alienda huko karibia kila day yuko club moja inaitwa Bever anakula nyahi mdogo mdogo.
Nimekuwa nikifuatilia siasa za Karagwe tokea uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo ndugu Innocent Bashungwa alichaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo la Karagwe.
So far siajona kitu alichofanya kwani wananchi wamezidi kulia kwa ugumu wa maisha including kilio cha wakulima kuhusu bei za masoko ya mazao yao...
Ninasikitika sana nimaposoma maoni ya mwandiahi mashuhuri kama Maggid lakn akiandika kama ameanza uandishi juzi.Ama kwel kuna watu maslahi yao yanapokuwa mbele huandika bila kuangalia je upande mwingine ambao hakubaliani nao ameyaweka maoni yao katika mizani.Kipind cha Malima na kipindi cha...
Hii barua alieitunga amekosea makosa ya wazi kabisa ambayo hata mie niliefeli uandishi wa barua naweza yaona makosa ya wazi.Nasubiri kanusho la aivyo huyu katibu ni mtu wa ajabu asiejua hata kuadress mhusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.