hao wahisani wao wanaowaambia serikali haifanyi biashara wao wanafanya biashara kupitia wananchi wao. serikali yetu inapaswa kuwawezesha wananchi wetu kufanya biashara, kiwa kuwapa mitaji na knowhow
"General Tyre imekufa, tusiwalaumu wakenya wala waganda, Viongozi wetu wamekosa uzalendo, kwa nchi kama Korea ya Kusini wakati wa uongozi wa Lee Park, viongozi kama Mary Nagu walikuwa wananyongwa au kupigwa risasi mbele ya raisi. Huku kwetu Mary Nagu anazidi kupanda chati na kukaa meza moja na...
TISS is protecting those who are prosecuting Tanzania it is a shame-Go to Loliondo those the murderers of Tanzania (OBC) are protected by our own intelligence paid by our money. What a shame. JUAN it is not GENERAL TYRE ALONE-SERENGETI IS DYING AS A RESULT OF UNPROTECTED HUNTING IN LOLIONDO...
"General Tyre imekufa, tusiwalaumu wakenya wala waganda, Viongozi wetu wamekosa uzalendo, kwa nchi kama Korea ya Kusini wakati wa uongozi wa Lee Park, viongozi kama Mary Nagu walikuwa wananyongwa au kupigwa risasi mbele ya raisi. Huku kwetu Mary Nagu anazidi kupanda chati na kukaa meza moja na...
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM wakati wa kampeni zake aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa swali na mtanzania mmoja Je Mheshimiwa JK watanzania wakukumbuke kwa lipi katika uongozi wako uliopita na ujao kama utashinda? Jibu la JK lilikuwa kama ifuatavyo "WATANZANIA WANIKUMBUKE KWA...
Tunajua kwamba serikali inaingia katika madeni kwa kujitakia? Si kwamba serikali haijui kwamba ni makosa kukopa bila ya kuwa na mkakati ambao mkopo huo utatumika kuongeza uzalishaji, ajira, uwekezaji wa ndani ambapo serikali itaongeza ile Tax base yake ili kupata fedha zaidi za kulipa madeni na...
" Faraja ya Mwekere iwe ni ongezeko la pato la kaya kwa watanzania kwa asilimia hamsini na si yale ya matumizi ya simu". Pamoja na mawasiliano kuwa muhimu tujiulize ni kiasi gani cha fedha kinachotengenezwa kwa watu kuwasiliana kwa maana ya kodi kinachokwenda kurekebisha maisha ya mtanzania...
Nani kasema hatufanyi kazi? Unajua kila anachofanya mwanajamii forum? Tukuulize wewe **** je lipi zuri alilofanya JK katika uzinduzi wa airtel? Rais makini hawezi kujishughulisha na mambo madogo kama hayo ana Makatibu wakuu wa wizara husika kwa nini wasifanye hilo kwa niaba yake? Labda ni...
Tunachokuomba Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwaeleza wawekezaji hususani Airtel walipe kodi na uwepo wako katika uzinduzi haina maana ya kwamba umefungulia mlango wa makampuni hayo kutokulipa kodi. Ninaomba vivile uwe mkali kwa wawekezaji ambao wanakuja kwa lengo la...
Sababu zitakazofanya Batilda apewe nafasi ya URC Dar ni kwamba Mwana mama huyu yupo katika hali mbaya kifedha kutokana na mchakato wa kura za jimbo la Arusha. Madeni aliyonayo hayalipiki mwanangu. Si Masha, Diallo, Shamsa, Msola, Kimiti, Mzindakaya, Chiligati, wala Khatibu walio na shida...
Unapaswa kuelewa kwamba CCM na Serikali yake haiangalii uwezo wa mtu katika utendaji bali kinachoangaliwa ni MASLAHI yagawanywe namna gani ndani ya wenye chama na serikali. Batilda ni mtu wa karibu kwa vigogo wengi wakubwa ndani na nje ya serikali ya sasa hivyo basi hatutashangaa endapo atapewa...
Zitto alishakuwa COOPTED na walanchi unategemea nini? Kesha poteza umaarufu siku njingi lakini pesa anazo.
Jambo ambalo watu wengei wanashindwa kujua ni kwamba 'unaweza tu kuwa maarufu na kuheshimika pale unaposimamia haki na kujitenga na jambo lolote linaloweza kutia mashaka kwamba wewe ni...
Ni kweli kaka wengi wa mawaziri wetu 2010-2015 ni madodoki tu hawana jipya. Jambo la kujivunia kwa baraza hili la mawaziri ni kwamba litatoa nguvu wa watu kuleta mabadiliko 2015. "Ukila na Kipofu Usimguse Mkono"
Ntemi, Kuunga mkono rais anayekejeli watu na kufurahia mateso ya watu wake ni jambo baya na lisilo na utu. Tujaribu kuwa na ruhuma na watu wetu ambao uwezo wao wa kuchambua na kufanya maamuzi ya kuwasaidia ni madogo. T-shirt na Kanga kwao ndicho walichoona cha kuwasaidia kwa Kikwete pia anajua...
Miaka minne chuoni badala ya mitatu.....hayo ni mambo ya supplementary na kurudia mwaka...tuachane nayo! Cha msingi atatenda haki bungeni? Taifa letu kupitia serikali yake lipo icu. Bunge ndilo linaloweza kulitoa icu kwa tiba kupitia serikali na hatimaye kulirudishia taifa letu afya na heshima...
JF members do you know the reasons behind fast tracking of regional integration across the world; EU, USA, ASIA, AFRICA (EAC, ECOWAS, SADC, COMESA)?
Preparation for a single world government
Single world Currency
Then a number of nasty things will happen to the world; nations loosing their...
"You made others your slaves, it is your turn to be slaves" You ruled over others it is you time to be ruled over" " you colonized others it your time to be colonized" You despised other it time for you to be despised" There is nothing new under the sun thinks keep on repeating themselves at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.