am selling a starlet (1995, manual), its in a good condition. its KM reading is 155,000 the last price I can accept is 4.0 million no negotiating below that unless you what to offer a higher price due to the good condition of the car. serious buyers get me on 0713262798 or lkawamala@gmail.com. I...
Japo mimi ni kipenzi kikubwa cha hotuba za baba wa taifa hasa pale alipokuwa anajaribu kutumia lugha nyepesi nyepesi kuzima mambo makubwa yaliyokuwa yanatishia amani ya nchi kwa umakini mkubwa. Ila sijawahi, wala sitawahi hata sikumoja kuunga mkono falsafa yake ya kufanya Tanzania kuwa socialist...
I have all the qualifications and on top of that I have advanced Diploma. catch me on lkawamala@gmail.com. right now am doing part time at the Ministry of Labour
UFISADI ATCL JK IOKOE KAMPUNI
Sisi wananchi tuliyo ndani na nje ya ATCL tumeona hatuwezi kukaa kimya tukiangalia jinsi kampuni inavyoangamia kwa ufisadi wa kisayansi.
Ufisadi wa kisayansi kwa sababu wanaofanya ufisadi huu ni uongozi wa kampuni kwa kutumia nafasi zao za madaraka na kujifanya...
kumbe kila aliyepitia CCM ni fisadi? hata mimi niliyempa JK kura ni fisadi? Mrema siyo fisadi bwana mbona alikuwa kinara wa kuwaumbua vigogo wa ccm enzi zake? bado akaondoka na kuacha ulaji ndani ya chama tawala?
Samahani wakuu ngoja kwanza nimalizie kucheka maana nimeisoma hii habari kwenye Nipashe ya trh 12/10/07 imeniacha hoi kweli kweli. okay ngoja uhondo kwa kukandamija habari kamili (kicheko kimeisha)
Katibu mkuu wa chama cha Wananchi CUF amesema atarejea kwenye chama tawala cha CCM kama atapewa...
kweli kuna wananchi na wenyenchi. Hawa viongozi wana mali, wanataka tena uongozi, bado wanataka kufika hadi ikulu sasa najiuliza wakitoka huko watataka pia hata kufika mbinguni kwa kutumia their bloody money. loh! hebu wajionee aibu, watanzania wangapi wanakula mlo mmoja kwa siku? wajawazito...
hilo changa la macho kama Dr Slaa naye anasababisha inflation then thas too much to think of. kama rais anadiriki kushika cheque feki sijui hao viongozi wenzake kazi wanayofanya
its a good idea kuchangia lakini nyie mliopo ughaibuni kumbuka lifi lilivyo tight huku mascan, yaani mtu anajikusanya kweli kweli kupata buku moja ili aingie internet cafe kupata habari au kutoa duku duku lake kwenye JF sasa ikija hiyo la dola 10 sijui itakuwa kwa mwaka au mwezi naona wanachama...
Huyu Jk mbona anakuwa kama chamelion? leo anasema tunarudia mikataba wapumbavu wake wanakimbia kusaini mikataba hiyo hiyo bado anawatetea nakutoa stupid smiles, alitwambia tutaje wanaohujumu uchumi na majambazi mpaka akatupa namba za simu, lakini leo hii anatugeuka nakutwambia eti tusiwe...
Inawezekana wanamegewa kidogo na hayo majambazi, ila siwalaumu sana mbona mkono naye anatetea mafisadi? Hivi sheria inaruhusu kumtetea mtu yeyote hata kama jamaa anarekodi ya ujambazi? Hawa wanasheria watajibu nini kwa Mungu siku ya hukumu?
thanks mwanakijiji for your effort, naomba usilegeze kamba uzi ni ule ule mpaka kieleweke. sisi tunachoomba ni uzima tu maana under the sun nothing is impossible.
well done mwana kijiji, sisi tupo pamoja nawe tuombe uzima tu maana under the sun everything is possible may God bless u and add you more where you loose
kwli hii nchi haina viongozi wala rais maana hali halisi inaonesha, hivi huyo mhariri alikuwa anakusudia nini? hata kama nikutetea ugali kwa style hiyo hapana, inamaana hata EL huwa anawaweka vitimoto waandishi wa habari wa serikali? kwahilo sidhani mimi nafikiri nikujipendekeza kwa baadhi ya...
mbona madaktari walisema hatapelekwa kutibiwa nje pindi tu alipofikishwa hospitali? au ndiyo fasheni ya kila kiongozi kwenda nje pindi anapo umwa? Naje hizo fedha zinatoka kwenye mgodi wake au kwenye fedha zetu sisi walipa kodi? mbona serikali haichangii wagonjwa wa moyo wanaopelekwa India kwa...
kwani hao wapumbavu akina karamavi wameshakuwa na uelewa wa madini mpaka wakimbie nakusahau viatu vyao eti wanawahi wawekezaji wasije wakakosa fursa hiyo? mbona baba wa taifa alikuwa na subira na bado uchumi wetu kipindi hicho haukuwa mbaya kufikia wa sasa?
ccm haina lolote kiama kinakuja 2010 wamezidi kutetea mafisadi, kwao muuaji ni mtu safi kwa chama chao. ila nafikiri hata mbinguni wana adhabu ya kujibu siku watakapofika huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.