Search results

  1. briophyta plantae

    LGE2024 Manyara: RC Sendiga apeleka nyama ya nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ili kushawishi kujiandikisha katika daftari la makazi

    Hii habari kwa upande wng sijaielewa,si mara ya kwanza kusikia habari kama hii kwa ndugu zetu wahadzabe ila huwa najiuliza ulazima na umuhimu wa kufanya hivyo upo wapi na ulizingqtia hii ni jamii ya wawindaji.naomba anayeelewa hii issue vzr atueleweshe tafadhali.
  2. briophyta plantae

    Jinsi tunavyotengeneza kizazi dhaifu kijacho pasipo kujua

    Habari wana jamii.. Kwa ufupi tu ningependa tuongelee hii changamoto ambayo wengi pia waaifahamu na wanajua inaathiri vp jamii. Tangu hapo mwanzo jamii imekuwa ikibadilika kizazi hata kizazi katika namna tofauti kulingana na nyakati nanamna ya kuishi katika nyakati husika. Kubadilika kwa vizazi...
  3. briophyta plantae

    Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Sasa watu wanafanya siasa kwa namna sahihi kulingana na maana yake,ni watu wachache kiasi gani wenye uelewa wa hili jambo siasa,kuna njia nyingine ya kufanya maamuzi kwenye taifa ukitoa siasa?
  4. briophyta plantae

    Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Inakuwaje sasa tunawapa dhamana watu tunaojua ni waongo na hawatatufikisha popote
  5. briophyta plantae

    Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Kwenye kukua kwangu, hili neno Siasa ni neno la kawaida maana nalisikia mara kwa mara. Mfano: Chama cha siasa. Mwana siasa... Ila ukweli sijui maana yake. Maana hata wakati mwingine ni neno la heshima, na wakati mwingine ni neno la kuvunja heshima. Ukiongea uongo, unaitwa mwanasiasa. Ukitoa...
  6. briophyta plantae

    Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

    Usiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi...
  7. briophyta plantae

    RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Ricardo au walilozoea nyumbani ni richard laizer,amezaliwa mkoa wa kilimanjaro
  8. briophyta plantae

    RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Hakika,siasa inatumika kila pahala sasa hivi
  9. briophyta plantae

    RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Kuna baadhi ya michezo tumeiweka kando sana ila inaweza kutupeleka mbali pia,uwekezaji katika michezo umeegemea upande mmoja sana na nchi hii inavipaji vya watu wengi sana
  10. briophyta plantae

    RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    🚨"THIS IS ONLY THE BEGINNING", SAYS LAIZER Right after the finish line of the UCI World Championships in #Zurich2024, here is what Richard Laizer told us: “I am very happy with my first Cycling World Championships! I could feel a very special, warm and powerful atmosphere with the crowds and...
  11. briophyta plantae

    Somo la kutafakari kwa kina. Kobe au kondoo?

    Nadhani kobe huyu ni muelewa na si kiziwi.
  12. briophyta plantae

    Kuwa na uvumulivu na utulivu sio ishara yakuwa tuna amani

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya hivi vitu vitatu UVUMILIVU, UTULIVU NA AMANI, huenda vikawa na muonekano sawa katika umbile la nje kimtazamo ila kuna cha kujifunza katika kuelewa hasa hasa tunaposema tuna Amani.
  13. briophyta plantae

    Somo la kutafakari kwa kina. Kobe au kondoo?

    Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili), simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada ya simba kubembeleza sana na kwa upumbavu wa kondoo, akafungua lile boksi la chuma. Sasa simba...
  14. briophyta plantae

    Omba omba kwenye miji na vijiji

    Duh! Imefikia huko tena
  15. briophyta plantae

    Omba omba kwenye miji na vijiji

    Hapo ndo tatizo linaanzia kwenye kupoteza imani ya watu kuwasaidia.
  16. briophyta plantae

    Omba omba kwenye miji na vijiji

    Sasa hv kumekuwa na ongezeko kubwa sana la omba omba mijini na hata kwenye baadhi ya vijiji,cha ajabu sasa hv ni kama wana mfumo fulani ambao ni rasmi. Kwanza maeneo wanayopendeleea kuomba yanafanana na hata wakati mwingine wanakuwa wengi sehemu moja,mfano ni kwenye taa za kuongoza magari na...
  17. briophyta plantae

    Time and changes

    Remember the Kodak company? In 1997, Kodak had about 160,000 employees. And about 85% of the world's photography was done with Kodak cameras. With the rise of mobile cameras over the past few years, Kodak Camera Company is out of the market. Even Kodak went completely bankrupt and all his...
  18. briophyta plantae

    Where we're now

    Yanayoendelea sasa hv lengo hasa ni nini?? Bado kuna wasiojulikana?
Back
Top Bottom