Search results

  1. P

    DOKEZO Vyuo vya Kati vya Afya kuna ufelishaji Wanafunzi kwa makusudi?

    Kweli kabisa hawataki madogo wafike walipo wao utafikili watapunguziwa mishahara yao,Yani unakuta inshu ndogo tu mtu kasharudishwa mwaka ,halafu hata wao wenyewe utendaji kazi wao ni wa kawaida hawana uwezo hata wa kupata nafasi Katika nchi zilizoendelea,tatizo roho mbaya,tamaa,chuki za ovyoovyo...
  2. P

    Waliosoma uganda au wenye kujua kuhusu hii kozi ya ufamasia nchini uganda

    Sawa vp lakini chuo kipi Kiko poa zaidi Katika hii kozi nchini Uganda kama unakijua nisaidie
  3. P

    Waliosoma uganda au wenye kujua kuhusu hii kozi ya ufamasia nchini uganda

    Wakuu habari,hivi ni vyuo vikuu gani vizuri Kwa kozi ya pharmacy ngazi ya degree nchini Uganda nataka nimpeleke ndugu yangu akasome huko Uganda msaada wakubwa
  4. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Sawa kaka labda walopita advance watamuelekeza vema maana wanaelewa ugumu na wepesi wa elimu hiyo
  5. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Naskia physics kwenye afya sio pana sana kama chemistry na biology,labda engineering ko labda akienda nje atakuwa vzr zaidi maana hata elimu ya nje itampa exposure zaidi na kujifunza maisha mengine
  6. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Duh kumbe alibaliki Hivi E na D inatofauti gani maana kwenye cheti chake zote wameandika ni principle pass,na zinawiano sawa,kwn E inaanzia ngapi na kuishia ngapi Kwa A level
  7. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Aha nimekupata nadhn hii itamsaidia zaid kuliko kupoteza muda tena diploma
  8. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    TCU watamruhusu sio na akirudi si anakuwa sawa tu kufanya kazi kama waliosoma ndani
Back
Top Bottom