Da!!! braza mimi mwenyewe tangu mwaka 2021 niko singo,,,nilipigwa 2kio la ajabu kama yule bondia aliyekufa zanzibar!! kwa kifupi pamoja na kuishi na mke wangu kwa miaka ishiri na kuzaa watoto wanne kkujenga nyumba kadhaa,,,lakini alinipiga 2kio lilinigeuza kuwa mlevi mpaka leo hii,,,kazini...
waafrika tuna akili sana,angalia pyramids za misri,kulikuwa na biashara kubwa sana mangaribi ya afria wakati huokukiwa na tajiri mkubwa mansa musa,unaambiwa ata mayahudi asili yao ni afrika,ata malikia wa sheba alizaa na mfalme daudi,,,unaambiwa ata YESU mwenyewe jamaa wanasema ni mzungu lakini...
wewe piga kazi jamaa!!! mwisho wa dunia ni kifo chako,hao jamaa wa USA wanapigwa matukia ya majanga ya asili na MUNGU kwa sababu ya kuendekeza USOGA,USAGAJI na KUbadili JINSIA!!,,,,,,,wapumbavu sana hao jamaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.