Tanzania HEWA!! Wafanyakazi HEWA walitoa zawadi HEWA kwa wafanyakzi HEWA kupitia kwa mkuu waliyedhani ni HEWA ili atoe zawadi HEWA kwa wafanyakazi HEWA!!!
Lazima kuna ukakasi mahali...haiwezekani kwa kipindi chote hicho tena akiwa na 'refa' mzuri hadi mda huu hajafanyiwa salary review naye katulia tuu!!! #$#/*@*$
Duuhh!! Hii ni hatari kwa mtu mzima aisee!!
Kuna siku nilimpa makavu humu akaja na mitusi kibao (muone sura kama andazi lililoungua)..nadhani wengi mnakumbuka maana mlicheka sana humu na kutubeza tulioiona kweli!!! Humu kuna watu huwa hatukurupuki kuandika na ndio maana comments zetu ni chache...
Mkuu, huwa nakuheshiu sana humu jamvini kwa michango yako, japo Mama huyu anakosea(sina uhakika maana upotoshaji ni mwingi kipindi hiki) lakini usifikie hatua hii ya kumkejeri Dr!! Nakusihi kuchunguza maneno yako mara kadhaa kabla hujapost hasa ktk kipindi hiki kigumu kwa wana mageuzi!!!
Nimesubiri aseme, sioni lolote, kumbe hana jipya tu anapima kuona kama Diallo ataongeza dau!!
Huyu anapima upepo ili aone huo upuuzi wake utapokelewa vipi na jamii! Utakubalika au atumie plan B waliyokubaliana?